Makapuku Forum

Makapuku Forum

a1379f1a79ff2b8dede4e50d0946fa44.jpg
962cfd5a6e8bab74f9f49baa612dd9d7.jpg
80ede7b65a826767c8d921435c2c09ab.jpg
a1adbee16c8a7829f412f27c070833cb.jpg
 
Leo katika historia kwa udhamini wa dikteta


LEO KATIKA HISTORIA: 1933: Rais mteule wa Marekani, Franklin Roosevelt alinusurika katika jaribio la kuuawa nchini humo. Roosevelt alichaguliwa kuwa Rais wa 32 wa nchi hiyo na kuongoza kuanzia mwaka 1933 mpaka kifo chake mwaka 1945.
4b6ff07034df3449970480cedc5f90f1.jpg
 
LEO KATIKA HISTORIA: 1984:Askari 500,000 wa Jeshi la Iran waliingia nchini Iraq kwa ajili ya mapambano ya kivita. Nchi hizo jirani ziliingia kwenye mgogoro uliodumu kwa miaka minane kuanzia 1980 – 1988.
05c68714d96a38a72cfb4e9913a87ce4.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom