Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Morning mkuuMorning all kapuku
Morning mkuuMorning all kapuku
Pamojaa sanaAsante kwa magazeti ya leo mkuu Lee
Bhinamu ongera nilisikia umepewa u-HR kwenye kampuni yenu ya ulinzi mpaka na pc umekabidhiwa wewe ....endelea na ukauzu wako ukiwa rindonUdaku kwenye kitecno K7 changu hayafunguki, itabidi niyasomee ofisni, ( si ndo uzuri wa kupewa PC la ofisi)
Pamoja BhinamuuAsante mjomba lee empire kwa magazeti
Paris sent German walianza kukabia juu kabisa ya eneo la Fc Barcelona.... Unapokabwa kuanzia juu kabisa ya eneo lako unakosa muda wa kupanga mashambulizi sambamba na kukosa nafasi ya kuanzisha mashambulizi kuanzia katika back line yako.... Barcelona walianza kufa kuanzia katika mipango ya kuanzisha mipira......Watu washaliwa 4 nunge...
Afu wale birthday Boy wangu wametia kamamba wote!
Happy birthday Edson cavani
Happy birthday Angel di Maria
Happy valentine PSG!
Bhinamu ongera nilisikia umepewa u-HR kwenye kampuni yenu ya ulinzi mpaka na pc umekabidhiwa wewe ....endelea na ukauzu wako ukiwa rindon
Paris sent German walianza kukabia juu kabisa ya eneo la Fc Barcelona.... Unapokabwa kuanzia juu kabisa ya eneo lako unakosa muda wa kupanga mashambulizi sambamba na kukosa nafasi ya kuanzisha mashambulizi kuanzia katika back line yako.... Barcelona walianza kufa kuanzia katika mipango ya kuanzisha mipira......
Iniesta, Neymar, Suarez na Mesi hawa ni 4 ambao ni wazuri sana wakati timu inamiliki mpira ila sio wazuri sana with wakati timu inautafuta mpira..... Hapa unaona Cavan pekee ndiye mchezaji ambaye anakuwa freeman wakati wa kukaba.
Kiungo cha Barcelona kinafia kwanza kwenye miguu ya Verate na Rabiot wakati PSG wakiwa na mpira lakini pia kiungo hichohicho cha Barcelona kinafia kwanza tena kwenye mapafu ya Matuid na Rabiot wakati Barcelona wanamiliki mpira....... Hapa wale 4 wa Barcelona ambao ni sio wazuri wakati wa kukaba wanakuwa mzigo kwa mabeki wao watano na kurahisisha mashambulizi katika lango lao Barcelona. Kushambulia kwa kushtukiza kwa haraka zaidi kuliwafanya Barcelona Wengi wakutwe mahala ambapo hawakustahili.
Ili MSN ife basi huna budi kuua kwanza mipango yooote ya kuanzisha mashambulizi kuanzia nyuma (hapa Unai Emery alifanikiwa)...... Ili MSN ife basi ni lazima uzibe mianya yote ya uzawa wa pasi zinazotakiwa kumfikia Eng. Mesi (kama PSG walivyofanya klna kufanikiwa kuziba mianya yote ya pasi zilizokuwa zikielekea kwa mesi...... Ili MSN isifanye kazi basi unahitaji viungo wenye pump yenye horse power kubwa katika defensive na offensive kama Verate, Rabiot na Matuid dhide Iniesta, Bosqute na Gomes....
Unai Leo atalala na suti..... Hichi alichokifanya Leo akiwa na jezi ya Emirate kifuani ndio aina ya vitu PSG walikuwa wanavikosa.... Kumfunga Barcelona unaweza ila goli nne ni anguko la kitaaluma na mbinu za makocha haswaa Unai Emery.
Mipira aliyopiga di Maria ni kama inafanana....magoli aliyoyafunga di Maria ni kama yanafanafa..... Draxler too much pace alafu inafuata poor last touch. Hakukua na namna kwa jinsi Barcelona walivyoshindwa kuwa na plan nyingi nje ya camp Nou...... Hapa Barca walikuwa na
Mipira inapokufa kwa Leonel Mesi basi na Luis Suarez na yeye na nafasi zake hupotea mazima..... Neymar naye akafa na aina yake ya uchezaji ikafa... Ubaya wa MSN ni kama mafiga likifa moja hayo mengine hayafanyi kazi.....
Sory Barcelona Naulizia tu bei ya Yule Rabiot...? anafanya interception, blocking na ana drive timu mbele kwa wakati mmoja, anapokonya sana mipira na Sprint za nguvu......
Paris Sent German 4-0 Fc Barcelona.
Bhinamu wangu kipenzi kuhusu hilo shaka ondoa kabisa ,tena yule kwa kwanza cha mtoto kuna mwingine wa mtaa wa tatu kutoka home kiboko aiseeeeeh bhinamuAsante mjombaangu, ninakaimu tu kwa sasa ndo PC pentium 2 ninalimiliki.
Itabidi nikutafute anko twende kwa "fundi" ili aliyenikaimisha aendelee huko jumla. Bado una ile namba ya mganga?
Ederson Santana de Moraes #1
Palepalee Bhinamuuu ,nyumba ya nne kutoka kwao shululu
Bhinamu au ulishafika ?? Tujuzane
Duuuuh wewe shushushu nini bhinamu nilijua hukusikiaa ,,,una wavelength kama za popo...noooo, umesahau siku zile unaongea na yule msomali makonda?
Sawa Shafii DaudaParis sent German walianza kukabia juu kabisa ya eneo la Fc Barcelona.... Unapokabwa kuanzia juu kabisa ya eneo lako unakosa muda wa kupanga mashambulizi sambamba na kukosa nafasi ya kuanzisha mashambulizi kuanzia katika back line yako.... Barcelona walianza kufa kuanzia katika mipango ya kuanzisha mipira......
Iniesta, Neymar, Suarez na Mesi hawa ni 4 ambao ni wazuri sana wakati timu inamiliki mpira ila sio wazuri sana with wakati timu inautafuta mpira..... Hapa unaona Cavan pekee ndiye mchezaji ambaye anakuwa freeman wakati wa kukaba.
Kiungo cha Barcelona kinafia kwanza kwenye miguu ya Verate na Rabiot wakati PSG wakiwa na mpira lakini pia kiungo hichohicho cha Barcelona kinafia kwanza tena kwenye mapafu ya Matuid na Rabiot wakati Barcelona wanamiliki mpira....... Hapa wale 4 wa Barcelona ambao ni sio wazuri wakati wa kukaba wanakuwa mzigo kwa mabeki wao watano na kurahisisha mashambulizi katika lango lao Barcelona. Kushambulia kwa kushtukiza kwa haraka zaidi kuliwafanya Barcelona Wengi wakutwe mahala ambapo hawakustahili.
Ili MSN ife basi huna budi kuua kwanza mipango yooote ya kuanzisha mashambulizi kuanzia nyuma (hapa Unai Emery alifanikiwa)...... Ili MSN ife basi ni lazima uzibe mianya yote ya uzawa wa pasi zinazotakiwa kumfikia Eng. Mesi (kama PSG walivyofanya klna kufanikiwa kuziba mianya yote ya pasi zilizokuwa zikielekea kwa mesi...... Ili MSN isifanye kazi basi unahitaji viungo wenye pump yenye horse power kubwa katika defensive na offensive kama Verate, Rabiot na Matuid dhide Iniesta, Bosqute na Gomes....
Unai Leo atalala na suti..... Hichi alichokifanya Leo akiwa na jezi ya Emirate kifuani ndio aina ya vitu PSG walikuwa wanavikosa.... Kumfunga Barcelona unaweza ila goli nne ni anguko la kitaaluma na mbinu za makocha haswaa Unai Emery.
Mipira aliyopiga di Maria ni kama inafanana....magoli aliyoyafunga di Maria ni kama yanafanafa..... Draxler too much pace alafu inafuata poor last touch. Hakukua na namna kwa jinsi Barcelona walivyoshindwa kuwa na plan nyingi nje ya camp Nou...... Hapa Barca walikuwa na
Mipira inapokufa kwa Leonel Mesi basi na Luis Suarez na yeye na nafasi zake hupotea mazima..... Neymar naye akafa na aina yake ya uchezaji ikafa... Ubaya wa MSN ni kama mafiga likifa moja hayo mengine hayafanyi kazi.....
Sory Barcelona Naulizia tu bei ya Yule Rabiot...? anafanya interception, blocking na ana drive timu mbele kwa wakati mmoja, anapokonya sana mipira na Sprint za nguvu......
Paris Sent German 4-0 Fc Barcelona.
