Makapuku Forum

Haihitaji ht uwe na Masters ya Law
Tumia common sense tu kampuni huwa na
* mmiliki
*mkurugenzi mtendaji
*afisa ajira/mkurugenzi utumisha
N.k

Wao wamekomaa kumtajataja Manji tu {jina linahusika vipi?)
Polifix
........
Wabongo nasi tumezidi. Hata huwezi kuelewa tuachotaka hasa ni nini. Tunalia ajira hakuna kumbe makampuni mengine wameajiri illegals. Watu wenye ties na hayo makampuni wakiitwa kuhojiwa napo makelele. Hakukosea aliyesema kuwa siye tu namba wani kwa unafiki duniani!
 
 
Hivi unaamini lengo lao ni kumuhoji tu?
Naheshimu maoni yako ila hujaelewa .....hakuna anayefurahi wageni kuajiriwa tunawaona wamejazana kule Kariakoo tunaongea kisheria Manji hahusiki ile ni Group Of Companies na km unajua Sheria za Uhamiaji zinasemaje kuhusu "mwajiri" kuajiri wageni na afhabu yake ni nini hapo sitakupinga

Nchi inaongozwa na Sheria km vipi basi wakavunje majengo tote ya mahakama maana Sheria zinaonekana hazina maana
.........
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…