Ushasajiliwa mkuu gonga like upate like kapuku ndo penyewe ,maupendo mubashara ya kutoshaJamani nisajilin waungwana
Morning na asante kwa salamuukilala ukiamka mshukuru Mungu
morning wadau
Udaku ndo yenyeweUdaku
![]()
![]()
Pole sana ,ila tulipokea mashtaka kutoka kwa mkuu aliyekua mwenza wako ....Habari za asubuhi familia? Mmeamkaje? Mie sijambo kidogo, nasumbuliwa na kifua na mafua maana huku kwetu vumbi ni kali sana.

Hahahahaaa anasemaje?Pole sana ,ila tulipokea mashtaka kutoka kwa mkuu aliyekua mwenza wako ....![]()
![]()
![]()
![]()
Pole sana mkuu, umetumia dawa.Habari za asubuhi familia? Mmeamkaje? Mie sijambo kidogo, nasumbuliwa na kifua na mafua maana huku kwetu vumbi ni kali sana.
Umepata babaa ikibidi nitag kabisa nije kupata elimu ya bure bureZa asubuhi wakuu, kumekucha.
Leo katika Historia inarudi rasmi, tuonane baadae kidogo.
Naombeni sapoti yenu.
Good newz mkuu ...tunalisongesha diktetaZa asubuhi wakuu, kumekucha.
Leo katika Historia inarudi rasmi, tuonane baadae kidogo.
Naombeni sapoti yenu.
Asante sana nimetumia ila naona mwili unachoka tu. Sijui ni malaria au ndo uzee unapiga hodiPole sana mkuu, umetumia dawa.
