shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Kweli unazijua mwenye*ZIMEBAKIA SIKU 367 KUMALIZA MWAKA WA 2017.. KARIBU 2018* akili zangu nazijua mwenyewe !
![]()

Kweli unazijua mwenye*ZIMEBAKIA SIKU 367 KUMALIZA MWAKA WA 2017.. KARIBU 2018* akili zangu nazijua mwenyewe !
![]()

*ZIMEBAKIA SIKU 367 KUMALIZA MWAKA WA 2017.. KARIBU 2018* akili zangu nazijua mwenyewe !
![]()

DuuuuuuuuhMimi na mchepuko wangu napenda kuwatakia heri ya mwaka mpya! Haikuwa kazi rahis kumaliza mwaka bila kukamatwa! Naomba 2017 uwe mwaka wa mafanikio tena!
Safi tu ndugu. Kwema lakiniVizuri, nawe pia mkuu kheri ya mwaka mpya
Kwema kabisaSafi tu ndugu. Kwema lakini
Hongera kwa kutupia 130 K mkuu Lee
kwann badoBado sana
Hakuna Mahakama ya kivita Bali kuna Mahakama ya Kijeshi{Martial Court)Iv mahakama ya kivita inatoa hukumu gan
Umeshinda mechi ngapi na bado upo wapi?kwann bado
Ooooooooh pamojaaa mkuuu shululuHongera kwa kutupia 130 K mkuu Lee
Na mwaka huu tutakinukisha kinoma..
Tatizo wengi wakati thread onaanza tulikuwa free now wengi tunabanwa na maisha ndio maana tunaibuka kwa kuvisiana
....

Karibu sananimeelekezwa nije uku mimi nimejiunga leo