Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kweli kabisa hili ni bonge moja la thread sema watu wanalichukulia poa tu sijui kwanin... mimi nimeshtuka mapema na mwaka huu tutakinukisha hadi wapate homa ya wivu na huku harakat zikiendelea.

Happiest new year makupuku family.
Hapa ni ukumbi wa masela....kuna wasomi,wajasiriamali n.k ila kwavile ni Chit chat tunajimwaga kisela sasa mazoba wanafikiri sisi ni madogo wa Sekondari

nimeelekezwa nije uku mimi nimejiunga leo
Sawa hapa upo huru kurukaruka
.......
 
MMG_3486%2Bcopy.jpg
Sio Kwa kitambi hicho aisee.
 
Hapa ni ukumbi wa masela....kuna wasomi,wajasiriamali n.k ila kwavile ni Chit chat tunajimwaga kisela sasa mazoba wanafikiri sisi ni madogo wa Sekondari


Sawa hapa upo huru kurukaruka
.......
Love ya ukweli na watu uko wanatuonea gere kinomaa mpaka wanaanzishaga thread eti makapuku hamna kitu ...sema ruksa wajee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom