Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Kila ishu inaruhusiwaSijahisi kama unaninsult ila mwenyewe umekuja vibaya mwanzo..
By the way nimeamua kutoa nnchofaham so atakekipenda atanfata pm na najua mm ntamuelimisha VIP
Please matola pita taratibuu endelea na mambo yako...
Tafdhari sanaaaaa
Anayependa mpira sawa
Anayependa umbea sawa
N.k
According to post # 3
No limitation
Kila MTU yupo free
Matusi TU ndo mwiko
....................
kausha basi mwana, unaweza ukafanya mambo mengine sio lazima humu, binadamu bhana
Unajuwa JF kabla haijaanza kujitegemea tumekuwa tukikamuana pesa kulipia server katika ule mtindo wetu wa mkono mtupu haulambwi, ingawa nia yako ni njema lakini tuisaidie JF kwa kutojaza server bila sababu za msingi.
Iko njia rahisi pia ya kuwawekea link wale wanaopenda kujisomea, hizi topic zote zimo humu, ila ugonjwa wetu Wabongo ukiambiwa ukweli unahisi insult.
: