Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,504
- 57,045
Mkuu sasa nikichangamkia fursa alafu mke wangu akirudi nitamwambiaje?Changamkia fursa huyo ni maji maramoja
Mkuu sasa nikichangamkia fursa alafu mke wangu akirudi nitamwambiaje?Changamkia fursa huyo ni maji maramoja
You are welcome....Asante kwa upendo wako jirani.
nimekuja hnyNasaka mke wangu x2
(hapa hayupo)x2
Kaenda wapi x2
(Kaenda kusukwa)x2
Hodiii... (karibu)
Huu ni mti gani...? (wa mchongoma)
Nikiukataaa.... (haukatiki)
Mpenzi wangu aggyjay uko wapi???
Mfyuuuuuuuu huku ni kwa wakubwa tokaaaa kalaleee....Changamkia fursa huyo ni maji maramoja
Ndiyo maana wizara ya afya wanasisitiza watoto wanyonye mpaka miaka miwili ifike, bila hivyo madhara yake ni makubwa kama haya.Ukisikia bangi ndio hizi, yani Mexence Melo na Mike Mushi wakae waumize akili, waje na idea waanzishe Jambo forum ife halafu waanzishe JF na kuiendesha kwa shida, leo hii thread ya chitchat inaitwa ubunifu!!
Sasa nimeelewa kwa nini China miaka 23 mtu injinia lakini Bongo umri huohuo utakuta ni admin wa group la wasapu.
Sidanganyiki![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
kwendraaaaa wewe katoto na ole wako umwambie msukuma sikuletei bolconi
Hivi si yuko pangani eeeehhhpole sana, mshana jr naye haonekani kabisa, huenda kuna namna
maskini pole youngbloodOngeza na hiiKama anavyosema UncleBen, hili swala la matabaka siyo geni JF, mifano michache ni:-
- Wanawake over 30 wanavyobaguliwa humu (kwa sasa naona kama imepungua kidogo)
- Single mothers kila siku wanapondwa
- Nyumbu (aka wazungusha mikono) vs Lumumba BK7
- Wagalatia vs Wazee wa milipuko
etc
Hawa Makapuku wameenda next level kutengeneza forum yao, kama hawamtukani mtu mi naona sawa tu.
Pole kaka angu...Kwa hiki alichokifanya hata nikiondoka duniani mali zangu asishike atageuka panya.
Yes MshangaoooWow....senkyuuuu...hivi sapraizi kwa kiswahil huwa tunasemaje![]()
![]()
Mshangaooo

Sawa mama.You are welcome....
Huyo kajileta mwenyewe wewe mshughulikie na wife akirud mpige kibut mchepuko ili ubak na wifeMkuu sasa nikichangamkia fura alafu mke wangu akirudi nitamwambiaje?
Asante.
Nimekumiss sweety wangu, hebu nchumu kidogo.nimekuja hny
Huyo kajileta mwenyewe wewe mshughulikie na wife akirud mpige kibut mchepuko ili ubak na wife

Naweza nikawa mdogo wa umri ila mkubwa wa mambo fulaniMfyuuuuuuuu huku ni kwa wakubwa tokaaaa kalaleee....
Kuna sehemu sijaelewa vizuri.TAARIFA KWA UMMA
MABADILIKO YA URUSHAJI WA MATANGAZO YA RADIO NA
TELEVISHENI WAKATI WA VIKAO VYA BUNGE
___________
1.0. UTANGULIZI
Ili kuhakikisha kuwa Matangazo ya Bunge yanaendelea kurushwa na Televisheni nyingi hapa Nchini. Ofisi ya Bunge imeamua kuboresha mfumo wa urushaji wa Matangazo ya Bunge kwa Bunge lenyewe kurusha Matangazo ya Vikao vyake pamoja na Vipindi mbalimbali vyenye Maudhui kuhusu Shughuli za Bunge ambazo hazijapata fursa ya kufahamika vyema kwa umma kuanzia katika Mkutano ujao wa Bunge la Bajeti unaoanza tarehe 19 Aprili, 2016.
Huu ni Utamaduni wa kawaida kwa kila Bunge hususani Mabunge ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola kuwa na Studio yake kwa lengo la kurusha Matangazo ili yawafikie wadau kwa lengo la kurusha kupitia vituo vyao.
Jukumu la kurusha Matangzo ya Vikao vya Bunge litafanywa na Bunge lenyewe kupitia FEED MAALUM ili kurahisisha kila Kituo cha Radio na Televisheni kupata Matangazo hayo kwa sehemu walipo bila kufunga Mitambo yao Bungeni Dodoma.
2.0 UTARATIBU MPYA WA URUSHAJI MATANGAZO
Ili kuhakikisha kuwa vituo vya Redio na Televisheni vinapata matangazo ya Bunge, kila kituo cha Televisheni na Redio kitatumia Masafa ya Matangazo ya Bunge (Frequencies) bure kupitia FEED MAALUM itakayorushwa na Satellite ya INTELSAT 17 ambayo iko nyuzi 66 Mashariki kwa masafa yafuatayo:
3.0 HITIMISHO
Mabadiliko haya hayataathiri usajili wa Waandishi wa Habari wengine kuja Bungeni kwa ajili ya kufanya Coverage ya Shughuli za Bunge ambazo hazihusishi kuingiza kamera ndani ya ukumbi wa Bunge. Utaratibu huu mpya, utakuwa umesaidia kuondoa hali ya kila Kituo cha Televisheni kufunga Mfumo wake wa Kurusha Matangazo kutoka ndani ya Ukumbi wa Bunge, Dodoma na badalayake yatapokelewa katika Vituo vya Televisheni na Redio kupitia Masafa tajwa hapo juu. Utaratibu huu ni wa kawaida katika
Mabunge takribani yote Duniani husani wanachama wa Jumuiya ya Madola.
Imetolewa na:
Kitengo cha Habari, Elimu na Mawasiliano,
Ofisi ya Bunge
DAR ES SALAAM.
15 Aprili, 2016.
Naweza nikawa mdogo wa umri ila mkubwa wa mambo fulani
naenda kukusemea kwa baba......