Makapuku Forum

Makapuku Forum

3f4ad524ca020b22c06d627b779b7e9b.jpg
8bd6a9c4cd13d591fea9f13724d6ab77.jpg
c0c25859de4f423b86698f5b4cbe6e68.jpg
22d7c83a74b440b96afad5fc79620c6d.jpg
 
Salama kabisa naona forum imechangamka mpaka raha.

Hongera Bitoz kwa ubunifu huu...
Ukisikia bangi ndio hizi, yani Mexence Melo na Mike Mushi wakae waumize akili, waje na idea waanzishe Jambo forum ife halafu waanzishe JF na kuiendesha kwa shida, leo hii thread ya chitchat inaitwa ubunifu!!

Sasa nimeelewa kwa nini China miaka 23 mtu injinia lakini Bongo umri huohuo utakuta ni admin wa group la wasapu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom