Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,504
- 57,045
Aisee.Figa moja halipiki babu![]()
![]()
.........ukiona manyoya....
![]()
![]()
![]()
![]()
Kweli mapenzi mabaya,msiponiona kesho mwambieni Nahrene nilimpenda sana.
Aisee.Figa moja halipiki babu![]()
![]()
.........ukiona manyoya....
![]()
![]()
![]()
![]()
Hata sijui nilikuwa nimelala.Ule uzi wa kituko ulioanzishwa umefikia wapi?!
Safi sana jamaa yuko vizuri
Ule uzi wa kituko ulioanzishwa umefikia wapi?!
Mwaaaaaaa!!!!
Aisee.
Kweli mapenzi mabaya,msiponiona kesho mwambieni Nahrene nilimpenda sana.
Poleee relax sana dear. ....Mimi nipo.....Aisee.
Kweli mapenzi mabaya,msiponiona kesho mwambieni Nahrene nilimpenda sana.
Ukisikia bangi ndio hizi, yani Mexence Melo na Mike Mushi wakae waumize akili, waje na idea waanzishe Jambo forum ife halafu waanzishe JF na kuiendesha kwa shida, leo hii thread ya chitchat inaitwa ubunifu!!Salama kabisa naona forum imechangamka mpaka raha.
Hongera Bitoz kwa ubunifu huu...
Kwa hiki alichokifanya hata nikiondoka duniani mali zangu asishike atageuka panya.Urithi umeshaandika lakiñi...na yy Nahrene unamwachaje..
Sawa Dogo ucwaze kinda languShiiiiiii tulia huku ni kwa Makapuku tu.....
Asante kwa upendo wako jirani.Poleee relax sana dear. ....Mimi nipo.....
Relax mkuu.Unajigongesha
Ntuzu
Changamkia fursa huyo ni maji maramojaAsante kwa upendo wako jirani.
Sawa Dogo ucwaze kinda langu
kwendraaaaa wewe katoto na ole wako umwambie msukuma sikuletei bolconiWow....senkyuuuu...hivi sapraizi kwa kiswahil huwa tunasemajeOohhh karibu sana na kule nyumbani kwetu OT......zawadi ya gari kwenye Harusi Yako inakuhusu.