Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,503
- 57,043
Sitaki tena.Pole kaka angu...
Ebu tuendelee kuvuta subra labda kesho atakuja
Sitaki tena.Pole kaka angu...
Ebu tuendelee kuvuta subra labda kesho atakuja
Kaseme![]()
![]()
![]()
![]()
naenda kukusemea kwa baba......
Eti mama uko tayari kumsaliti Nahrene??
Aiiii wewe!!!! mapenzi uvumilivu mvumilie mwenziyo....Sitaki tena.
Huyo ni mchaga Pesa mbele kama taiEti mama uko tayari kumsaliti Nahrene??
Mpende jirani Yako kama unavyojipenda Mwenyewe hii ndo amri kuu ..........jirani zangu nawapenda sana.Eti mama uko tayari kumsaliti Nahrene??
KhaaaaSitaki tena.
Mama/bibi ni faiza foxy pekee a.k.a ngaribaSawa mama.
Aiiiiii ndio nini tumia maneno yasiyo leta uchochez hujui ni ucku huuAiiii wewe!!!! mapenzi uvumilivu mvumilie mwenziyo....
Mi nimechoka kusubiri mtu hana hata dalili ya kurudi.Aiiii wewe!!!! mapenzi uvumilivu mvumilie mwenziyo....
Mhhhh!!! Hivi unachuki binafsi au? Eti youngblood toka tumejuana nilishawahi kukuomba hata vocha?Huyo ni mchaga Pesa mbele kama tai
mmmwaaah! miss u more hnyNimekumiss sweety wangu, hebu nchumu kidogo.
Kubwa la mangariba.Mama/bibi ni faiza foxy pekee a.k.a ngariba
Mkuu woga wako acha kuzunguka sana hapo mwambie KWA HIYO UTANISAIDIAJE atakwambia anaogopa ujue tyar nduano imeshanasa samakiMi nimechoka kusubiri mtu hana hata dalili ya kurudi.
Ashhhhhhhh!!! Ishiiiiiiii!!! Yereuwiiiiiiii , Yessssssssss bebiiiiiii.......aiii weweeeeeee piiiiiieeeeeennnnnnnnnnnnnccççç......uwhhhhhhhhh!!!!!Aiiiiii ndio nini tumia maneno yasiyo leta uchochez hujui ni ucku huu
Acha naye,hujawahi kuniomba hata mia mbovu.Mhhhh!!! Hivi unachuki binafsi au? Eti youngblood toka tumejuana nilishawahi kukuomba hata vocha?
Uchokozi jamanimmmwaaah! miss u more hny
Weraweraaaaaa! Makapuku katika ubora wetu, hafu ujue sisi ndo tunafanya Sana thread za hao wanaojiita wakongwe ziende, Kama vipi tufanye mgomo WA Ku comment thread zao hata kwa siku 3 Tu, iwe mwendo WA kusoma kimyakimya, then tunakuja kupiga story uwanja WA nyumbani hapa!Habari wana JF
Habari Makapuku wenzangu
Matumaini yangu wote mko poa kabisa.
Uzi huu ni kwaajili ya makapuku wote. Lengo ni kujadili changamoto zinazotukabili, pia Kupeana support katika mambo yetu hapa JF. Tupeane mbinu za kukabiliana na mambo yote humu.
Makapuku natumaini nyote tutashirikiana katika jambo hapa JF. Bila kumsahau founder wa makapuku prezidaa Bitoz shukrani kwake sana.
Members
EMMYGUY
ibra87
sizzya007
Nahrene
cute b
lizziebettie
UncleBen
peterchoka
nyumbatatu
dekitambi
HULILO
Kawalala93
damtanzania
Mama mkubwa
Thoomas
youngblood
tawa driller
SongeaOne
eden kimario
KABUGHA
Sambusa kavu
shaban lee
Nafsi huru
hassandady
Shemtibuko
sumbai
mabesela
dog 1
aggyjay
Elly_corner
Teacher on duty
willy fredy
PNC 1
jambilo
Powder
Karibu sana makapuku katika mjadala. Wengine nitawaongeza hapo baadae.
Karibu sana
Bitoz
JF Makapuku Founder
Jimena
JF Makapuku assistant Founder
Th Name JF Makapuku assistant Founder