Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Nimekusoma mkuu Amaizing...Yap mkuu
Hii kitu inataka udongo wa kichanga na joto.
Morogoro , dar, pwan na iringa ruaha mbuyuni inakubal japo huku Iringa wanatumia mbegu ya mkulima na sio f1 sukar
Aisee kweli wewe unapenda stressHaaaahaa
Siwez kuiacha MAN U nlikuwa nayo kipindi chote cha raha na hats hiki kipindi kigumu ntakuwa nayo tuuu...
TeAm Man u damuu
Yani sisi watanzania ni viumbe wa ajabu sana.Nasikia watu washasepa na kamera nne katka daraja hilo
Haina noma PresidaaMkuu mtu unamuognore TU
Km mimi matusi ya wakongwe mbona nimepotezea TU
Kutukanana haina tija
One love
...............
Pole sana mkuu,naomba unipongeze basi.Chelsea tuna matatizo yetu lakini man u mmezidi. Japo leo kun kaniharibia siku lakini bado sikati tamaa. Huyu jamaa nitampenda siku ya mechi ya UEFA.
Kupenda ndugu yanguuuAisee kweli wewe unapenda stress
Aisee leo nimefurahi sana .![]()
Full time
...............
Basi pole.Kupenda ndugu yanguuu
Nilishaihaid Man U ntaipenda kwa shida na raha
mpotezee tu bibie ...Sijahisi kama unaninsult ila mwenyewe umekuja vibaya mwanzo..
By the way nimeamua kutoa nnchofaham so atakekipenda atanfata pm na najua mm ntamuelimisha VIP
Please matola pita taratibuu endelea na mambo yako...
Tafdhari sanaaaaa
Pamoja sana...Nimekusoma mkuu Amaizing...
Weekend hii wanawake wataadimika sana,naona wewe pia yamekukuta.Nasaka mke wangu x2
(hapa hayupo)x2
Kaenda wapi x2
(Kaenda kusukwa)x2
Hodiii... (karibu)
Huu ni mti gani...? (wa mchongoma)
Nikiukataaa.... (haukatiki)
Mpenzi wangu aggyjay uko wapi???
Ukimjua binadamu hatokusumbua ... Matola anataka kutuletea zilipendwa hapa .Kwani matola.. Mod hawaoni au wewe una wawakilisha!!!
Kwema mkuu,mambo vipi?Makapuku wenzangu kwema humu ndani?
Yapo njema kabisaKwema mkuu,mambo vipi?