Makapuku Forum

Makapuku Forum

Chelshit wamekaa
Cc Linamo
da14c99811e440acab7ef654e0bf3d6e.jpg


................
 
Siwasapoti hata chembe but mchawi wao ni wao wenyewe

hata hivyo kuna point moja tu ya msingi nimeiona ambayo wanayo

kuhusu likes yaaani unapata notification ya like kwa comment moja zaidi ya kumi lakini ukicheki zinasomeka 5 tu maximum halafu baadhi ya watu wwngine zipo mpka 29, sasa sijaelewa bado inakuaje kuaje.

Mod fanyieni hilo kazi ikiwezekana mtoe ufafanuzi .

Ni hayo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom