Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Sisi 2 wao 1Wengine hatuna radio, hivyo hatujasikia.
Sisi 2 wao 1Wengine hatuna radio, hivyo hatujasikia.
SafiZinaenda kaka
Nice to hear datI thanks sir Allah ..I'm good with full blessings
Habari mkuuAmeeen
Poa babakendugu zangu vp
Kweli kabisa aiseePrisons imemchanganya
![]()
![]()
![]()
......
Sawa kapukuMimi nahisi kule sasa hivi wameshapafanya kama jukwaa la dini au jukwaa la wakubwa.
Hivyo unatakiwa upate access ya kuwa kule.
Cja muhimu embu waPm alafu usubiri mrejesho
Salama kiongoziHabari mkuu
Siasa ya America tuwaachie wenyewe tuache kuchambua vitu vya kusikiasikia tuyule alikuwa ni mnazi wa Clinton, baada ya Trump kushinda akavyata mkia.
nashangaa eti mtu anajifanya ni mchambuzi wa nchi za watu na ajifanya anajua kila kitu.
Mwisho wa siku wameingia aibu
Let great sinkers sinkSawa kapuku
Dukuduku langu ni kufahamu tu....sina mpango wa kwenda kukomenti wala kuanzisha uzi kule kwa "maGreat Sinkers"
Halafu zile nondo mpya za Ze Bodi kule jukwaa la Intelejensia ni shida....Jamaa hana mpinzani mi sikosagi kumsoma ila tu napitaga kimya kimya
Analitendea haki jukwaa sio wale wazee wa kutwa kubishana bila evidence kuhusu Mungu yupo au hayupo
![]()
![]()
![]()
........
E banaaa eeh! Ze bold yuko fit kwa kweli, huwa hata mimi namfuatiliaga kimya kimya,Sawa kapuku
Dukuduku langu ni kufahamu tu....sina mpango wa kwenda kukomenti wala kuanzisha uzi kule kwa "maGreat Sinkers"
Halafu zile nondo mpya za Ze Bodi kule jukwaa la Intelejensia ni shida....Jamaa hana mpinzani mi sikosagi kumsoma ila tu napitaga kimya kimya
Analitendea haki jukwaa sio wale wazee wa kutwa kubishana bila evidence kuhusu Mungu yupo au hayupo
![]()
![]()
![]()
........
Kuna watu utafikiri wana hati-miliki Jf.Kwenye dimbwi la majitaka
![]()
![]()
![]()
......
na sasa hv nataka nianze kampeni ya kuwatimbia huko huko na kuwavurugia mambo yao