Makapuku Forum

Makapuku Forum

si kila rafiki ni mzuri kwako kuwa makini kuchagua rafiki anayekufaa,ni bora uwe na rafiki 3 wa kweli kuliko uwe na rafiki 300 wasiowakweli,wanafki wanaong'ata na kupuliza wa vipindi maalum
Na binadamu hata umfanyie jema gani atakusaliti tu
Ni mara chache kupata mtu wa kuaminiana nae
Wengi wapo tu wakati wa raha....shida zikianza huoni hata vivuli vyao

...........
 
Nimekuuliza swali siriazi unajibu kiutani
Umewazaje kuchangia ule uzi wakati wengine tumebaniwah/atuwezi kukomenti?
.........
Oukay, Kumbe ni hivyo..!
hata mimi kipindi cha nyuma nilikuwa nmefungiwa kucomment pale, ila nashangaa siku hizi nnaweza kuchangia kule
NB: sijui wanatumia utaratibu gani, kuruhusu/kufungia watu kuchangia kule
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom