Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Well doneNajaribu kucover
Well doneNajaribu kucover
AmenAsante sana bepari
Yes PrezdaaPapaaa
Asante sana kwa magazeti ya leo Ankali JJView attachment 429524View attachment 429525
Asanteni sana kwa kuwa pamoja nami, jina langu naitwa Jimena Jimenes
Muwe na siku njema na sabato njema kwa wote wanaoitii
Ilikuwaje wakamnyonga?1925 - Jasusi wa Kiingereza Sidney Reilly ananyongwa mpaka kufa huko Moscow, Urusi.
Alikuwa ni Jasusi mahiri zaidi katika karne ya 20 na alijulikana kama " Super Spy ".
Hapa ilikuwa chuki binafsi tu2006 - Rais wa zamani wa Iraq Saddam Hussein anahukumiwa kunyongwa hadi kufa baada ya kukutwa na hatia ya kuwaua washia 148 mwaka 1982.
HBD Pele1962 - Abedi Pele anazaliwa.
Ni staa wa zamani wa Marseille, Lyon na timu ya taifa ya Ghana.
Ametwaa Kombe la Mataifa Huru ya Afrika mwaka 1982 akiwa na kikosi cha Ghana.
Pia ametwaa ubingwa wa Ulaya akiwa na Marseille mwaka 1993.
Hakika2000 - Bibi Titi Mohamed anafariki Dunia.
Alikuwa ni mwanasiasa toka nchibi Tanzania.
Alishiriki katika Jaribio la Mapinduzi la kutaka kupindua Serikali ya Nyerere mwaka 1969-1970 akiwa na Lifa Chipaka na Oscar Kambona aliyeratibu jaribio hilo akiwa Ughaibuni.
Alifungwa kwa uhaini mpaka alipokuja kupata msamaha wa Rais Nyerere na kurudi tena kuwa swahiba wake.
Ni moja kati ya wanawake waliopitia magumu mengi enzi za uhai wake. Huyu ni Iron Lady wa Tz.
Asante diktetaLeo katika Historia:
Kwa udhamini mnono wa Abedi Pele niwatakie sabato njema.
Vizuri TetramelyzNajaribu kucover
Ahsante bibie, one loveView attachment 429524View attachment 429525
Asanteni sana kwa kuwa pamoja nami, jina langu naitwa Jimena Jimenes
Muwe na siku njema na sabato njema kwa wote wanaoitii
Mh!!! Huyu sijawahi msikia!!!Leo katika Historia:
1912 - Woodrow Wilson anachaguliwa kuwa Rais wa 28 wa Marekani.
Hii kazi kwa wapenda ubwabwa hawaiwezi!!!1925 - Jasusi wa Kiingereza Sidney Reilly ananyongwa mpaka kufa huko Moscow, Urusi.
Alikuwa ni Jasusi mahiri zaidi katika karne ya 20 na alijulikana kama " Super Spy ".
1962 - Abedi Pele anazaliwa.
Ni staa wa zamani wa Marseille, Lyon na timu ya taifa ya Ghana.
Ametwaa Kombe la Mataifa Huru ya Afrika mwaka 1982 akiwa na kikosi cha Ghana.
Pia ametwaa ubingwa wa Ulaya akiwa na Marseille mwaka 1993.
1986 - Kasper Schmeichel anazaliwa.
Ni golikipa wa Leicester City na timu ya taifa ya Denmark.
HBD to all1992 - Marco Veratti anazaliwa.
Ni staa wa PSG na timu ya taifa ya Italy.
Kutokana na uwezo mkubwa aliokuwa nao wa kumiliki mpira na kutoa pasi murua anatajwa kama Andrea Pirlo mpya.
Nani Alikuwa anataka kuwa prezdaa? Kambona???2000 - Bibi Titi Mohamed anafariki Dunia.
Alikuwa ni mwanasiasa toka nchibi Tanzania.
Alishiriki katika Jaribio la Mapinduzi la kutaka kupindua Serikali ya Nyerere mwaka 1969-1970 akiwa na Lifa Chipaka na Oscar Kambona aliyeratibu jaribio hilo akiwa Ughaibuni.
Alifungwa kwa uhaini mpaka alipokuja kupata msamaha wa Rais Nyerere na kurudi tena kuwa swahiba wake.
Ni moja kati ya wanawake waliopitia magumu mengi enzi za uhai wake. Huyu ni Iron Lady wa Tz.
Ashe PrezdaaLeo katika Historia:
Kwa udhamini mnono wa Abedi Pele niwatakie sabato njema.
Ahsante kwa Mapichapicha kiongozi.Shukrani kwa historia
Jasusi ukikamatwa unafanya kazi yako katika nchi nyingine hukumu ni kifo.Ilikuwaje wakamnyonga?
Kambona alitaka kumpindua Mzee. Akiwa Uingereza akawa anatuma pesa nchini kuratibu jaribio hilo.Nani Alikuwa anataka kuwa prezdaa? Kambona???
Ingekuwaje wangefanikiwa???