Makapuku Forum

Makapuku Forum

2000 - Bibi Titi Mohamed anafariki Dunia.

Alikuwa ni mwanasiasa toka nchibi Tanzania.

Alishiriki katika Jaribio la Mapinduzi la kutaka kupindua Serikali ya Nyerere mwaka 1969-1970 akiwa na Lifa Chipaka na Oscar Kambona aliyeratibu jaribio hilo akiwa Ughaibuni.

Alifungwa kwa uhaini mpaka alipokuja kupata msamaha wa Rais Nyerere na kurudi tena kuwa swahiba wake.

Ni moja kati ya wanawake waliopitia magumu mengi enzi za uhai wake. Huyu ni Iron Lady wa Tz.
Hakika
 
1962 - Abedi Pele anazaliwa.

Ni staa wa zamani wa Marseille, Lyon na timu ya taifa ya Ghana.

Ametwaa Kombe la Mataifa Huru ya Afrika mwaka 1982 akiwa na kikosi cha Ghana.

Pia ametwaa ubingwa wa Ulaya akiwa na Marseille mwaka 1993.

1986 - Kasper Schmeichel anazaliwa.

Ni golikipa wa Leicester City na timu ya taifa ya Denmark.

1992 - Marco Veratti anazaliwa.

Ni staa wa PSG na timu ya taifa ya Italy.

Kutokana na uwezo mkubwa aliokuwa nao wa kumiliki mpira na kutoa pasi murua anatajwa kama Andrea Pirlo mpya.
HBD to all
 
2000 - Bibi Titi Mohamed anafariki Dunia.

Alikuwa ni mwanasiasa toka nchibi Tanzania.

Alishiriki katika Jaribio la Mapinduzi la kutaka kupindua Serikali ya Nyerere mwaka 1969-1970 akiwa na Lifa Chipaka na Oscar Kambona aliyeratibu jaribio hilo akiwa Ughaibuni.

Alifungwa kwa uhaini mpaka alipokuja kupata msamaha wa Rais Nyerere na kurudi tena kuwa swahiba wake.

Ni moja kati ya wanawake waliopitia magumu mengi enzi za uhai wake. Huyu ni Iron Lady wa Tz.
Nani Alikuwa anataka kuwa prezdaa? Kambona???

Ingekuwaje wangefanikiwa???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom