Makapuku Forum

Makapuku Forum

1478325761180.jpg
1478325767075.jpg
1478325774110.jpg
 
1962 - Abedi Pele anazaliwa.

Ni staa wa zamani wa Marseille, Lyon na timu ya taifa ya Ghana.

Ametwaa Kombe la Mataifa Huru ya Afrika mwaka 1982 akiwa na kikosi cha Ghana.

Pia ametwaa ubingwa wa Ulaya akiwa na Marseille mwaka 1993.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom