Makapuku Forum

Makapuku Forum

129dc5dfe7adbbcafc1aa2454f397e5f.jpg

No stress
......
 
Kwema kabisa
Ndo naingia Jf
.....
Habari zenu wakuu wa humu..

Ebhana Mr. President Bitoz nimeona nije huku 'nyumbani kwako' maana kule ambako tumesigana kidogo comment yako naitafuta siioni..

Mkuu, sory kama nimekukwaza kwa ile comment yangu niliyomensheni makapuku forum but nadhani haukuelewa, niliandika ile as a compliment to makapuku forum, yani in fact nilikuwa nasifia sio kuponda but nadhani haukunisoma fresh.. Nilichokuwa namwambia yule mchuchu yani dizaini kama anataka chatting si aje tu huku Makapuku forum why aanze kuomba watu wamuunganishe magroup ya whatsapp!! Labda the way i said it didnt come out right but it was meant to be a compliment..

Sory sana Chief kama ulikwazika, that wasnt my intention..
Sijui kama mnafahamu kuwa huu ndio uzi wenye comment nyingi zaidi, views nyingi zaidi na ndio uzi uliotrend zaidi toka kuanzishwa kwa JF, kwahiyo nawaheshimu sana Makapuku, sana..

Again, so sory for the misunderstanding. Tuko pamoja sana wakuu, one love brothers.!
 
Habari zenu wakuu wa humu..

Ebhana Mr. President Bitoz nimeona nije huku 'nyumbani kwako' maana kule ambako tumesigana kidogo comment yako naitafuta siioni..

Mkuu, sory kama nimekukwaza kwa ile comment yangu niliyomensheni makapuku forum but nadhani haukuelewa, niliandika ile as a compliment to makapuku forum, yani in fact nilikuwa nasifia sio kuponda but nadhani haukunisoma fresh.. Nilichokuwa namwambia yule mchuchu yani dizaini kama anataka chatting si aje tu huku Makapuku forum why aanze kuomba watu wamuunganishe magroup ya whatsapp!! Labda the way i said it didnt come out right but it was meant to be a compliment..

Sory sana Chief kama ulikwazika, that wasnt my intention..
Sijui kama mnafahamu kuwa huu ndio uzi wenye comment nyingi zaidi, views nyingi zaidi na ndio uzi uliotrend zaidi toka kuanzishwa kwa JF, kwahiyo nawaheshimu sana Makapuku, sana..

Again, so sory for the misunderstanding. Tuko pamoja sana wakuu, one love brothers.!
Kwanza mimi siyo Rais


Nilijua hauko serious maana nakufahamu ni mtu poa na nafuatiliaga nondo zako
Nilikuelewa ndio maana nikafafanua kisha nikaweka neno "kohsrehere chako" kiutani tu
Comment nilifuta ndio kawaida yangu maana sipendagi majibishano na watu au shari yaani sipendagi watu waniquotequote
Kiufipu "tumetaniana" tu
Wala usiwaze chukulia kawaida tu
Mi nipo kawaida tu
........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom