Tetramelyz
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 4,369
- 12,469
1925 - Jasusi wa Kiingereza Sidney Reilly ananyongwa mpaka kufa huko Moscow, Urusi.
Alikuwa ni Jasusi mahiri zaidi katika karne ya 20 na alijulikana kama " Super Spy ".
1925 - Jasusi wa Kiingereza Sidney Reilly ananyongwa mpaka kufa huko Moscow, Urusi.
Alikuwa ni Jasusi mahiri zaidi katika karne ya 20 na alijulikana kama " Super Spy ".
Pamoja sanaAhsante sana katibu JJ.
1925 - Jasusi wa Kiingereza Sidney Reilly ananyongwa mpaka kufa huko Moscow, Urusi.
Alikuwa ni Jasusi mahiri zaidi katika karne ya 20 na alijulikana kama " Super Spy ".
2006 - Rais wa zamani wa Iraq Saddam Hussein anahukumiwa kunyongwa hadi kufa baada ya kukutwa na hatia ya kuwaua washia 148 mwaka 1982.
2007 - Simu za Android zatangazwa rasmi kwa mara ya kwanza na kampuni ya Google.
kazi nzuri kijana
1962 - Abedi Pele anazaliwa.
Ni staa wa zamani wa Marseille, Lyon na timu ya taifa ya Ghana.
Ametwaa Kombe la Mataifa Huru ya Afrika mwaka 1982 akiwa na kikosi cha Ghana.
Pia ametwaa ubingwa wa Ulaya akiwa na Marseille mwaka 1993.
1986 - Kasper Schmeichel anazaliwa.
Ni golikipa wa Leicester City na timu ya taifa ya Denmark.
1992 - Marco Veratti anazaliwa.
Ni staa wa PSG na timu ya taifa ya Italy.
Kutokana na uwezo mkubwa aliokuwa nao wa kumiliki mpira na kutoa pasi murua anatajwa kama Andrea Pirlo mpya.
2000 - Bibi Titi Mohamed anafariki Dunia.
Alikuwa ni mwanasiasa toka nchibi Tanzania.
Alishiriki katika Jaribio la Mapinduzi la kutaka kupindua Serikali ya Nyerere mwaka 1969-1970 akiwa na Lifa Chipaka na Oscar Kambona aliyeratibu jaribio hilo akiwa Ughaibuni.
Alifungwa kwa uhaini mpaka alipokuja kupata msamaha wa Rais Nyerere na kurudi tena kuwa swahiba wake.
Ni moja kati ya wanawake waliopitia magumu mengi enzi za uhai wake. Huyu ni Iron Lady wa Tz.
2015 - Rais John Pombe Magufuli anaapishwa kuwa Rais wa awamu ya 5 nchini Tanzania.
Shukrani kwa historiaLeo katika Historia:
Kwa udhamini mnono wa Abedi Pele niwatakie sabato njema.
Najaribu kucoverkazi nzuri kijana
haina noma mkuuNajaribu kucover
Apumzike kwa amani2000 - Bibi Titi Mohamed anafariki Dunia.
Alikuwa ni mwanasiasa toka nchibi Tanzania.
Alishiriki katika Jaribio la Mapinduzi la kutaka kupindua Serikali ya Nyerere mwaka 1969-1970 akiwa na Lifa Chipaka na Oscar Kambona aliyeratibu jaribio hilo akiwa Ughaibuni.
Alifungwa kwa uhaini mpaka alipokuja kupata msamaha wa Rais Nyerere na kurudi tena kuwa swahiba wake.
Ni moja kati ya wanawake waliopitia magumu mengi enzi za uhai wake. Huyu ni Iron Lady wa Tz.
Asante sana bepariLeo katika Historia:
Kwa udhamini mnono wa Abedi Pele niwatakie sabato njema.