Makapuku Forum

Makapuku Forum

IMG_20161102_193438.jpeg
 
Goli la pili lilipofungwa akaita kati halafu akakataa baadae kusema sio goli.

Baada ya Mbeya city kugoma na kutishia kutoka akakubali kuwa ni goli halali.
Mbona matukio mengi tu kavurunda
Ndio maana nilisema mechi imemshinda mfano kipindi cha kwanza mpira umesimama km DK 10+(matukio yote) halafu nyongeza kuweka 4 ile first half

Silalamikii matokeo ....hakuna ligi ambayo timu inachukua tu ubingwa kila msimu
Ubingwa siyo habari mpya kwa Yanga
Simba akichukua ndo habari mpya maana ana ukame
Kuna dalili zote Simba bingwa msimu huu....GAP la pts 8 kubwa sana labda mzembee
.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom