Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nalionaga onaga aisee
IMG_20161028_220048.jpeg

Lishachakachuliwa
......
 
SANI lilikuwa na waandishi wabunifu sana. Nilikuwa nategemea litakuwa gazeti kubwa baadae.
Nakumbuka Zena na Betina, kifimbo cheza, madenge, ndumilakuwili na kipepe nilikuwa siwakosi.
Profesa Ndumilakuwili
Pimbi mzee wa
Mapungo straika wa Bush Stars
Mzee Sikununu
Mzee Meko
N.k

Nilijirahidi kuleta katuni zao hapa ila nikaambulia chache
.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom