Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nalionaga onaga aisee[emoji16]
IMG_20161028_220048.jpeg

Lishachakachuliwa
......
 
SANI lilikuwa na waandishi wabunifu sana. Nilikuwa nategemea litakuwa gazeti kubwa baadae.
Nakumbuka Zena na Betina, kifimbo cheza, madenge, ndumilakuwili na kipepe nilikuwa siwakosi.
Profesa Ndumilakuwili
Pimbi mzee wa[emoji160]
Mapungo straika wa Bush Stars
Mzee Sikununu
Mzee Meko
N.k

Nilijirahidi kuleta katuni zao hapa ila nikaambulia chache
.......
 
Back
Top Bottom