Baros chaurembo..1981 - Milan Baros anazaliwa.
Ni mshambuliaji wa zamani wa Liverpool, Aston Villa, Portsmouth na timu ya taifa ya Jamhuri ya Czech.
Alichukua ubingwa wa ulaya akiwa na Liverpool mwaka 2005.
Pia mwaka 2008 alichukua ubingwa wa kombe la F.A akiwa na klabu ya Portsmouth.
Hbd smith chaurembo,1980 - Alan Smith anazaliwa.
Ni mchezaji wa zamani wa Leeds United, Man United na Newcastle United pamoja na timu ya taifa ya England.
Alisifika sana kwa ukorofi wake.
Huyu rais, kama nikiwa bodyguard wake ntaishia jela tuu..

Mbuz gani hii!!?
Hii simu ikitoka tuu, inanihusu
Bibi kizee kabisa huyo tayarHuyu rais, kama nikiwa bodyguard wake ntaishia jela tuu..![]()
![]()
Halafu nimekuona sehemu unahangaika na yule Monnie ...ni mwanaume mwenzako km hujamshtukia fuatilia hata mwandiko wako halafu ID yake nyingine ni Cleopatra
"Unaweza kuwadanganya watu wote kwa wakati fulani au watu fulani kwa wakati wote ,lakini huwezi kuwadanganya watu wote kwa wakati wote"
Hapa Jf kuna midume mingi inatumia ID za kike ili tu kuwachezea watu akili hata Mrembo wa wachaga kakaa kidumedume namtilia mashaka
.........
ujue mm nilienda kumchana, maana nashangaa watu wanampapatikia sana..Lile ni dume....ujue mm nilienda kumchana, maana nashangaa watu wanampapatikia sana..
Yani akianzisha thread lazima igonge platinum
Hata yule miss nafind ni msela piaLilw ni dume....
Mi huwa thread yoyote napitia comments siwi na kiherehere cha kupost mara nyingi nagundua ni chai tu hivyo nashit
Mfano ule uzi "nimepata mke mwema*" ni fix tu
Ila mrembo wa wachaga ni demu sema usela mwingi
.....