Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,636
Ni demu .....nimechunguza na kupeleleza nimegundua anavaaHata yule miss nafind ni msela pia

Hivyo ondoa shaka
.....
.
Ni demu .....nimechunguza na kupeleleza nimegundua anavaaHata yule miss nafind ni msela pia

ujue mm nilienda kumchana, maana nashangaa watu wanampapatikia sana..
Yani akianzisha thread lazima igonge platinum
ID si ya demu!!!Kuna na bwn. nafind ni multiple ID???Ni demu .....nimechunguza na kupeleleza nimegundua anavaa
Hivyo ondoa shaka
![]()
![]()
![]()
.....
.
Kesho wachezaji wa kagera sugar wote watasimamishwa
Sawa mpelelezi wa kujitegemea.Ni demu .....nimechunguza na kupeleleza nimegundua anavaa
Hivyo ondoa shaka
![]()
![]()
![]()
.....
.

Fuatilia mwandiko wao pia km sehemu nyingi wanasapotiana kwa mareply au swaga zao km zinafananaKuna na bwn. nafind ni multiple ID???
Huyo miss kuna mahali nimefuma ID yake nyingineFuatilia mwandiko wao pia km sehemu nyingi wanasapotiana kwa mareply au swaga zao km zinafanana
Mfano huyo bwege anajiita Mtakatifu page ya nyuma mwangalie mwandiko utagundua unafanana kaja kuzingua na kujireply kwa ID nyingine
![]()
![]()
![]()
........

Kesho wachezaji wa kagera sugar wote watasimamishwa
Mpira wa kibongo zengwe Kila sehemu![]()
Huyu rumbo joto ndo kaamua kukuza mambo
Basi na wao walimuhonga Barthez goli la kona ya Sinza Kichura
![]()
![]()
![]()
......
Mi nimegundua wengi tuHuyo miss kuna mahali nimefuma ID yake nyingine![]()
Ndo kazi yanguSawa mpelelezi wa kujitegemea.![]()
![]()
Wkt Ulaya mtu anapigwa 8Mpira wa kibongo zengwe Kila sehemu
Tatizo huku tunatafuta mchawi nani. Halafu hizi timu kubwa mbili ndio matatizo sana.Wkt Ulaya mtu anapigwa 8
Pia mechi 1 kipa/beki anafungisha bao 2+ mfano Smalling dhidi ya Chelsea sekunde tu ya 34 kaichoma timu ingekuwa Bongo maneno mengi
Pia goli la kujifunga dk ya majeruhi la Paddy McNair dhidi ya Man City
John Stones v Southampton
Fellaini v Leicester (community shield)
.....
"Bongoland everything is Polifix"Tatizo huku tunatafuta mchawi nani. Halafu hizi timu kubwa mbili ndio matatizo sana.
Kwa ulaya wanajua Ni sehemu ya mchezo ndio maana wameendelea sana
View attachment 425495View attachment 425496View attachment 425497
Asante sana Dj Cobblepots kwa udhamini mnono asubuhi ya leo,
Sina la zaidi kutoka katika magazeti
Niite Jimena Jimenes nawatakia weekend njema na yenye furaha tele
Nawapenda wote
Siasa imetawala Kila kitu huku kwetu."Bongoland everything is Polifix"
By Sokomoko
Samtaimu walevi husema kweli
........