MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,453
- 69,340
Mi mzima wewe je?...kweli hadi nakusahau maana unaadimika mnoo. Nimemiss mambo yako aisee 🙂
Mimi mzima kabisa sema mambo yanabana kidogo, japo nafurahi kukuona mzima unaendeleza gurudumu.
Mi mzima wewe je?...kweli hadi nakusahau maana unaadimika mnoo. Nimemiss mambo yako aisee 🙂
Japo now days sitokei tokei sana...ila tunalisongesha! naomba weka nyimbo yoyote unayoikubali kutoka kwa new kids on the block basi....Mimi mzima kabisa sema mambo yanabana kidogo, japo nafurahi kukuona mzima unaendeleza gurudumu.

Alikuwa anasumbuliwa na nux tu
![]()
![]()
![]()
.......
Japo now days sitokei tokei sana...ila tunalisongesha! naomba weka nyimbo yoyote unayoikubali kutoka kwa new kids on the block basi....![]()
Born Town v Bush StarKuna ile mechi ya waporipori na watoto wa mjini, nilikuwa naikubali sana.
Kulikuwa kuna chezaji mmoja hv ana kichwa cha ajabu sana na chenye kisogo kikaliBorn Town v Bush Star
Kila siku lazima DK za majeruhi lifungwe goli
Kila siku lazima Mapungo ang'are
Red card karibu kila mechi
Bush Star hupasha porini hukalia moto,huchemshwa kwenye vyungu ,kupiga msamba juu ya mawe n.k
Duh kitambo sana
.....

Ngoja nifanye juu chini nitafute vile vitabu vya zamani maana nimekumbuka mengi....baada ya Sani kubanga likaja Bongo(copy & paste) maana walibadili wahusika tu lakini swaga waliiga kisha likaja KingoKulikuwa kuna chezaji mmoja hv ana kichwa cha ajabu sana na chenye kisogo kikali
Sijui walikuwa wanamuita "chepe" I dnt know
![]()
![]()
![]()
View attachment 425835View attachment 425836View attachment 425837View attachment 425838View attachment 425839View attachment 425840View attachment 425841View attachment 425842![]()
Tujikumbushe kidogo
....................................
Huyo mporipori nahisi ndo mzee Meko
![]()
![]()
......
KAPUKU'S SPECIAL EDITION: BEST OF NEW KIDS ON THE BLOCK
Hapa wamekuwa wababa sasa.
2 in the morning.....
Summertime
Single ft Neyo
Hapa bado watoto wadogo. (Good Old Timez)
Mwanagalie Jordan mzee wa Swagger alikuwa mdogo balaa.
Step by step
I'll be loving you forever
Sweetiepie , Jimena , briz , shululu , Mussolin5 , Bitoz , jonax , werrason
shukran Dj, video zimeelewekaItapendeza sana, kama ukiletaNgoja nifanye juu chini nitafute vile vitabu vya zamani maana nimekumbuka mengi....baada ya Sani kubanga likaja Bongo(copy & paste) maana walibadili wahusika tu lakini swaga waliiga kisha likaja Kingo
.......
KAPUKU'S SPECIAL EDITION: BEST OF NEW KIDS ON THE BLOCK
Hapa wamekuwa wababa sasa.
2 in the morning.....
Summertime
Single ft Neyo
Hapa bado watoto wadogo. (Good Old Timez)
Mwanagalie Jordan mzee wa Swagger alikuwa mdogo balaa.
Step by step
I'll be loving you forever
Sweetiepie , Jimena , briz , shululu , Mussolin5 , Bitoz , jonax , werrason
Ni ngumu sana kukuuziaDaaaah,
Hivi ukienda kwenye ofisi zao wanaweza kukuuzia nakala za zamani kweli?
Kama kikofiaNakumbuka bwana Pimbi hajawahi kufanikisha mishe hata moja. Alikuwa anapenda kuhonga hadi huruma.

KAPUKU'S SPECIAL EDITION: BEST OF NEW KIDS ON THE BLOCK
Hapa wamekuwa wababa sasa.
2 in the morning.....
Summertime
Single ft Neyo
Hapa bado watoto wadogo. (Good Old Timez)
Mwanagalie Jordan mzee wa Swagger alikuwa mdogo balaa.
Step by step
I'll be loving you forever
Sweetiepie , Jimena , briz , shululu , Mussolin5 , Bitoz , jonax , werrason

Ni ngumu sana kukuuzia
Pamoja sanaAwwwwh, Jimena!!
Kwanza kabisa lazima niseme kwamba DJ Cobblepots amekukumbuka sana.
Leo ntajitahidi kuweka vitu kama kawaida usijali kabisa mama.

Kama kikofia![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Una hamu ya kusutwa?