Makapuku Forum

Makapuku Forum

3d3c5b31a18a00bc4cef68daa3a4f610.jpg
tapatalk_1477682030143.jpeg
tapatalk_1477682027620.jpeg
tapatalk_1477682025209.jpeg
tapatalk_1477682022537.jpeg
tapatalk_1477682020069.jpeg
tapatalk_1477682016276.jpeg
tapatalk_1477682013870.jpeg
tapatalk_1477682011014.jpeg

Tujikumbushe kidogo
....................................
Huyo mporipori nahisi ndo mzee Meko

......
 
Kuna ile mechi ya waporipori na watoto wa mjini, nilikuwa naikubali sana.
Born Town v Bush Star
Kila siku lazima DK za majeruhi lifungwe goli
Kila siku lazima Mapungo ang'are
Red card karibu kila mechi
Bush Star hupasha porini hukalia moto,huchemshwa kwenye vyungu ,kupiga msamba juu ya mawe n.k
Duh kitambo sana
.....
 
Born Town v Bush Star
Kila siku lazima DK za majeruhi lifungwe goli
Kila siku lazima Mapungo ang'are
Red card karibu kila mechi
Bush Star hupasha porini hukalia moto,huchemshwa kwenye vyungu ,kupiga msamba juu ya mawe n.k
Duh kitambo sana
.....
Kulikuwa kuna chezaji mmoja hv ana kichwa cha ajabu sana na chenye kisogo kikali
Sijui walikuwa wanamuita "chepe" I dnt know
 
KAPUKU'S SPECIAL EDITION: BEST OF NEW KIDS ON THE BLOCK

Hapa wamekuwa wababa sasa.

2 in the morning.....


Summertime


Single ft Neyo


Hapa bado watoto wadogo. (Good Old Timez)
Mwanagalie Jordan mzee wa Swagger alikuwa mdogo balaa.

Step by step


I'll be loving you forever




Sweetiepie , Jimena , briz , shululu , Mussolin5 , Bitoz , jonax , werrason
 
Kulikuwa kuna chezaji mmoja hv ana kichwa cha ajabu sana na chenye kisogo kikali
Sijui walikuwa wanamuita "chepe" I dnt know
Ngoja nifanye juu chini nitafute vile vitabu vya zamani maana nimekumbuka mengi....baada ya Sani kubanga likaja Bongo(copy & paste) maana walibadili wahusika tu lakini swaga waliiga kisha likaja Kingo
.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom