Makapuku Forum

Makapuku Forum

1962 - Mwisho wa " Cuban Missile Crisis "

Ni baada ya kiongozi wa Urusi kuagiza Urusi kuondoa silaha zake za nyuklia ndani ya Cuba.

Huu ulikuwa ni mgogoro kati ya Urusi na Marekani uliojikita ndani ya Cuba.
IMG_20161028_085922.jpeg
IMG_20161028_085940.jpeg
 
1981 - Milan Baros anazaliwa.

Ni mshambuliaji wa zamani wa Liverpool, Aston Villa, Portsmouth na timu ya taifa ya Jamhuri ya Czech.

Alichukua ubingwa wa ulaya akiwa na Liverpool mwaka 2005.

Pia mwaka 2008 alichukua ubingwa wa kombe la F.A akiwa na klabu ya Portsmouth.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom