Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,117
Majungu [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115]Rooney kwenye ubora wake, alikuwa ananukia sifa kedekede, sasa maskin ananuka kashfa na matusi tu, kweli tenda wema uende zako
Majungu [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115]Rooney kwenye ubora wake, alikuwa ananukia sifa kedekede, sasa maskin ananuka kashfa na matusi tu, kweli tenda wema uende zako
Happy Birthday Rooney1985 - Wayne Rooney anazaliwa.
Ni staa wa Man Utd na timu ya taifa ya England. Anajulikana kama " Wazza " akifananishwa na kiungo matata wa enzi hizo Paul Gascoine " Gazza ". Ni shabiki mkubwa wa Everton.
Ni moja kati ya wachezaji wa Kiingereza aliyekuwa na kiwango kikubwa katika enzi zake.
Ameshinda kila taji kwa level ya klabu.
Anakumbukwa kwa goli la Tik Tak dhidi ya Man City katika ligi kuu na goli lilichaguliwa goli bora la miaka 20 ya EPL.
Ndiye mfungaji bora wa wakati wote katika timu ya taifa ya England huku klabuni akiwa amebakiza magoli 9 awe mfungaji bora wa kihistoria wa klabu hiyo.
Kwasasa ameanza kupoteza makali yake, ikashiria mwisho wa zama umewadia.
Huu ukorofi sasaLeo katika Historia:
Kwa udhamini mnono wa " Man Utd ilipovunja rekodi ya Arsenal "
Muwe na siku njema, Fans wa Man Utd wala msisononeke ni matokeo tu yale, tupo kwa kipindi cha mpito ila mambo yatakaa sawa.
Sasa we huon umuhimu wa mimi kuwa na mambo ya kike..nikiwa na yakiume si ndio unakuwa james delicious[emoji23] [emoji23]Mbona una mambo ya kike
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
.....
Josee nae ana nongwa mnooMata yupo vizuri, Sema yeye na josee hazipandi kabisa
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Km list ya Likes
Unaweza kuwa juu lakini wa chini yako akawa kipenzi cha watu na maarufu zaidi
Kweli rwkodi siyo mashindano
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
........
Mie huwa nawaita waingereza wanafki.. Tena wanafk mnoo.. Ktk mataifa yanayojitahid kiheshimu watu ni italia na ujeruman.. Nadhan angekuwa mjeruman still angeaminikaRooney atabaki kuwa Rooney
Hapendwi na Waingereza hata rekodi yake ya magoli haiimbwi...angekuwa Owen au Beckham(model) ungeona kelele zao
.....
Hongera yao..![]()
CAF Champions League Winners
Mamelodi Sundowns
......
Duh!! Kesho tu nahamia man u, c kwa walimbwende hawa.
[emoji17] [emoji17] [emoji17]Virus (poliovirus)
Vinasambaa kupitia kwenye maji,chakula na mgusano
.......
Ndio maana yake!!Okwiuiiiiii
Alikatazwa kupiga penalti?
Akapiga Kaseja
Au nimekosea
Duniani hujuma kila kona
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
.......
Chamee mimi mamii[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
Sio mimi man u wenyewe hao..Majungu [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115]
Poa, vip kaka mkubwa..Habari za mchana family
Nzuri, vp wewe mkuuHabari za mchana family
Poa mkuuNzuri, vp wewe mkuu