Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kwa udhamin murua kabsa wa haina ushetan tunakulaga... Shetan kakutana na muinjilist ze buluuz...
Bitoz nakupungia, nawe punga..
Wapi kaka jambaz.. Musolin le dictator
Jimena wangu polee eeh.. Shemej huwa hachekwi.. Domo litakuwa na adab kidogo kwako..

1477290167858.jpg
 
2004 - Klabu ya Arsenal yafungwa na Man Utd na kusitishiwa rekodi yake ya kutofungwa kwenye ligi kuu ya Uingereza.

kabla ya hapo ilicheza mechi 49 bila kufungwa na kuchukua ubingwa bila kufungwa.
Figisu figisu zilikuwa za kutosha hii game, nadhan hata fa hawakupenda arsenal kuvunja rekod n kuweka yao
 
1985 - Wayne Rooney anazaliwa.

Ni staa wa Man Utd na timu ya taifa ya England. Anajulikana kama " Wazza " akifananishwa na kiungo matata wa enzi hizo Paul Gascoine " Gazza ". Ni shabiki mkubwa wa Everton.

Ni moja kati ya wachezaji wa Kiingereza aliyekuwa na kiwango kikubwa katika enzi zake.

Ameshinda kila taji kwa level ya klabu.

Anakumbukwa kwa goli la Tik Tak dhidi ya Man City katika ligi kuu na goli lilichaguliwa goli bora la miaka 20 ya EPL.

Ndiye mfungaji bora wa wakati wote katika timu ya taifa ya England huku klabuni akiwa amebakiza magoli 9 awe mfungaji bora wa kihistoria wa klabu hiyo.

Kwasasa ameanza kupoteza makali yake, ikashiria mwisho wa zama umewadia.
 
Back
Top Bottom