Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,296
- 68,376
kupambana!Duh.. Kwa hyo watu wote tunatakiwa tuumwe polio siku ya leo!![emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
kupambana!Duh.. Kwa hyo watu wote tunatakiwa tuumwe polio siku ya leo!![emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hilo jina sasa2014 - Mbulaeni Mulaudzi anafariki Dunia.
Ni mwanariadha mahiri toka South Africa.
Hawezi kuvunja rekodi. Kuna kitu flani kinatengenezwa rekodi ya Sir Bobby iendelee kusimama.I wish afunge hizo goli zilizobak awe mfungaji bora wa muda wote man u..
Haaahaaa, ni kweli kipindi cha mpito, ila kikofia sasa kuelewa ni shidaLeo katika Historia:
Kwa udhamini mnono wa " Man Utd ilipovunja rekodi ya Arsenal "
Muwe na siku njema, Fans wa Man Utd wala msisononeke ni matokeo tu yale, tupo kwa kipindi cha mpito ila mambo yatakaa sawa.
poa poa mkuu!View attachment 423347View attachment 423348View attachment 423349
Gonjwa baya
Nataka kidogo mazee
SIKU NJEMA
..................
Katika kazi ambazo sizipendi ni kama hizo, muda wowote wewe unageuka marehemu,kisa nchiJamaa alihujumiwa wazi na Mkurugenzi wa FBI wa wakati huo Edgar Hoover
Ndio hivyo, ni kama yule mchezaji wa simba yule mganda, siku ya mechi ya yanga na Simba alizuiwa asifunge gori la Tatu, ili asivunje record ya kibadeniHawezi kuvunja rekodi. Kuna kitu flani kinatengenezwa rekodi ya Sir Bobby iendelee kusimama.
Kuna aina ya uchezaji ambao josee anautaka, kwa hiyo kwa Rooney hafitikivipi mkuu?
Hahaha...mkuu usiwe muoga hivyo!Katika kazi ambazo sizipendi ni kama hizo, muda wowote wewe unageuka marehemu,kisa nchi
Aahh.. Basi huo ni uhun n nt fair kabsa kwa Rooney aliyejitoa man u kwa jasho na damu yake.. Bobby charlton atabak kuwa bobby charlton heshima yake itabak pale pale, hata rooney avunje rekod vipi.. Sababu rekod si mashindano ila ni kumbukumbu za mchango wa mtu kwa timu.. So mazur yake hayawez kufutika..Hawezi kuvunja rekodi. Kuna kitu flani kinatengenezwa rekodi ya Sir Bobby iendelee kusimama.
Kibaya zaid wale wale unaowatumikia ndio wanaweza wakakukatisha uhai wakoKatika kazi ambazo sizipendi ni kama hizo, muda wowote wewe unageuka marehemu,kisa nchi
Unataka au unatoka mkuu[emoji15] [emoji15]View attachment 423347View attachment 423348View attachment 423349
Gonjwa baya
Nataka kidogo mazee
SIKU NJEMA
..................
Ndio hivyoKibaya zaid wale wale unaowatumikia ndio wanaweza wakakukatisha uhai wako
Yah ni kweli. Matokeo yake akaenda kupiga Kaseja, what a joke?Ndio hivyo, ni kama yule mchezaji wa simba yule mganda, siku ya mechi ya yanga na Simba alizuiwa asifunge gori la Tatu, ili asivunje record ya kibadeni
Wazza siku zake zimekwisha, majira yajayo ya kiangazi bila shaka atakuwa anaelekea China kama si Marekani.Kuna aina ya uchezaji ambao josee anautaka, kwa hiyo kwa Rooney hafiti
Kaipita kwa kuwa alikuwa bado kijana na timu inamuhitaji, Sasa upande wa pili sasa ndio majangaYah ni kweli. Matokeo yake akaenda kupiga Kaseja, what a joke?
Hata Gary Lineker alipojaribu kuvunja rekodi ya Sir Bobby kwenye national team akafanyiwa hujuma. Mechi yake ya mwisho akiwa amebakiza goli moja akakataliwa kupiga tuta halafu akatolewa.
Hakuwahi kuitwa tena national team na hapo ndipo akastaafu mwenyewe.
Ila Rooney amejitahidi ameipita National team ila klabuni sidhani...
Kingine kinachomfelisha Rooney, ni kuwa wahafidhina wa Man Utd hasa wakiongozwa na Sir Alex wanamuona sio mwenzao. Yaani yupo pale kimaslahi lakini sio kimapenzi kama akina Rio, Scholes, Giggs nkAahh.. Basi huo ni uhun n nt fair kabsa kwa Rooney aliyejitoa man u kwa jasho na damu yake.. Bobby charlton atabak kuwa bobby charlton heshima yake itabak pale pale, hata rooney avunje rekod vipi.. Sababu rekod si mashindano ila ni kumbukumbu za mchango wa mtu kwa timu.. So mazur yake hayawez kufutika..
Klabuni atafanyiwa kila aina ya hila asifikie rekodi hiyo japo amebakiza magoli machache lakini nafasi yake ndani ya timu ni ndogo, siku hizi hata penati anapiga hadi Martial na Wazza yupo ndani.Kaipita kwa kuwa alikuwa bado kijana na timu inamuhitaji, Sasa upande wa pili sasa ndio majanga
Uzandiki wa hali ya juu.. I hate this.. Kila mmoja aachwe muda wake uzungumze.. Haina maana maana akitokea mtu kivunja rekod ya henry eti heshima yake itashka.. Jibu ni lah.. Messi kaja barca lakin johan Cruyff na legends wengine still hawajasahaulika n heshima iko pale paleYah ni kweli. Matokeo yake akaenda kupiga Kaseja, what a joke?
Hata Gary Lineker alipojaribu kuvunja rekodi ya Sir Bobby kwenye national team akafanyiwa hujuma. Mechi yake ya mwisho akiwa amebakiza goli moja akakataliwa kupiga tuta halafu akatolewa.
Hakuwahi kuitwa tena national team na hapo ndipo akastaafu mwenyewe.
Ila Rooney amejitahidi ameipita National team ila klabuni sidhani...