Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kingine kinachomfelisha Rooney, ni kuwa wahafidhina wa Man Utd hasa wakiongozwa na Sir Alex wanamuona sio mwenzao. Yaani yupo pale kimaslahi lakini sio kimapenzi kama akina Rio, Scholes, Giggs nk
Game ya siku hiz ni pesa tu mapenz yameishia kwa kina gerrard na totti.. Labda wilshere kidogo.. Mtu anawafanyia kazi na mpunga unazama
 
Aahh.. Basi huo ni uhun n nt fair kabsa kwa Rooney aliyejitoa man u kwa jasho na damu yake.. Bobby charlton atabak kuwa bobby charlton heshima yake itabak pale pale, hata rooney avunje rekod vipi.. Sababu rekod si mashindano ila ni kumbukumbu za mchango wa mtu kwa timu.. So mazur yake hayawez kufutika..
Km list ya Likes
Unaweza kuwa juu lakini wa chini yako akawa kipenzi cha watu na maarufu zaidi
Kweli rwkodi siyo mashindano
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
........
 
Yah ni kweli. Matokeo yake akaenda kupiga Kaseja, what a joke?

Hata Gary Lineker alipojaribu kuvunja rekodi ya Sir Bobby kwenye national team akafanyiwa hujuma. Mechi yake ya mwisho akiwa amebakiza goli moja akakataliwa kupiga tuta halafu akatolewa.

Hakuwahi kuitwa tena national team na hapo ndipo akastaafu mwenyewe.

Ila Rooney amejitahidi ameipita National team ila klabuni sidhani...
Rooney atabaki kuwa Rooney
Hapendwi na Waingereza hata rekodi yake ya magoli haiimbwi...angekuwa Owen au Beckham(model) ungeona kelele zao
.....
 
21c2245e482a1cc4798ed68b00d352cc.jpg

Team of the week
.....
 
Kwa udhamin murua kabsa wa haina ushetan tunakulaga... Shetan kakutana na muinjilist ze buluuz...
Bitoz nakupungia, nawe punga..
Wapi kaka jambaz.. Musolin le dictator
Jimena wangu polee eeh.. Shemej huwa hachekwi.. Domo litakuwa na adab kidogo kwako..

View attachment 423312
[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
 
Back
Top Bottom