Makapuku Forum

Makapuku Forum

1985 - Wayne Rooney anazaliwa.

Ni staa wa Man Utd na timu ya taifa ya England. Anajulikana kama " Wazza " akifananishwa na kiungo matata wa enzi hizo Paul Gascoine " Gazza ". Ni shabiki mkubwa wa Everton.

Ni moja kati ya wachezaji wa Kiingereza aliyekuwa na kiwango kikubwa katika enzi zake.

Ameshinda kila taji kwa level ya klabu.

Anakumbukwa kwa goli la Tik Tak dhidi ya Man City katika ligi kuu na goli lilichaguliwa goli bora la miaka 20 ya EPL.

Ndiye mfungaji bora wa wakati wote katika timu ya taifa ya England huku klabuni akiwa amebakiza magoli 9 awe mfungaji bora wa kihistoria wa klabu hiyo.

Kwasasa ameanza kupoteza makali yake, ikashiria mwisho wa zama umewadia.
Josee anatakiwa kubeba lawama za wazza
 
1985 - Wayne Rooney anazaliwa.

Ni staa wa Man Utd na timu ya taifa ya England. Anajulikana kama " Wazza " akifananishwa na kiungo matata wa enzi hizo Paul Gascoine " Gazza ". Ni shabiki mkubwa wa Everton.

Ni moja kati ya wachezaji wa Kiingereza aliyekuwa na kiwango kikubwa katika enzi zake.

Ameshinda kila taji kwa level ya klabu.

Anakumbukwa kwa goli la Tik Tak dhidi ya Man City katika ligi kuu na goli lilichaguliwa goli bora la miaka 20 ya EPL.

Ndiye mfungaji bora wa wakati wote katika timu ya taifa ya England huku klabuni akiwa amebakiza magoli 9 awe mfungaji bora wa kihistoria wa klabu hiyo.

Kwasasa ameanza kupoteza makali yake, ikashiria mwisho wa zama umewadia.
Duh kumbe tareh yake ya kuzaliwa na tarehe ya kutugomea arsenal tusiweke rekod ya 50 bila kufungwa ni sawa.

Happy birthday legend wazza..
Usisahau alipiga hat trick yake kwenye game ya kwanza man u katika uefa..

Wazza
 
Leo katika Historia:

Kwa udhamini mnono wa " Man Utd ilipovunja rekodi ya Arsenal "

Muwe na siku njema, Fans wa Man Utd wala msisononeke ni matokeo tu yale, tupo kwa kipindi cha mpito ila mambo yatakaa sawa.
 
1985 - Wayne Rooney anazaliwa.

Ni staa wa Man Utd na timu ya taifa ya England. Anajulikana kama " Wazza " akifananishwa na kiungo matata wa enzi hizo Paul Gascoine " Gazza ". Ni shabiki mkubwa wa Everton.

Ni moja kati ya wachezaji wa Kiingereza aliyekuwa na kiwango kikubwa katika enzi zake.

Ameshinda kila taji kwa level ya klabu.

Anakumbukwa kwa goli la Tik Tak dhidi ya Man City katika ligi kuu na goli lilichaguliwa goli bora la miaka 20 ya EPL.

Ndiye mfungaji bora wa wakati wote katika timu ya taifa ya England huku klabuni akiwa amebakiza magoli 9 awe mfungaji bora wa kihistoria wa klabu hiyo.

Kwasasa ameanza kupoteza makali yake, ikashiria mwisho wa zama umewadia.
View attachment 423329View attachment 423330
Screenshot_2016-10-24-09-39-40.png

02643a7e23a687b09bc0c110ffee212c.jpg
85f28a7bc1417f1f33a95d0dbe2d3088.jpg
 
Kwa udhamin murua kabsa wa haina ushetan tunakulaga... Shetan kakutana na muinjilist ze buluuz...
Bitoz nakupungia, nawe punga..
Wapi kaka jambaz.. Musolin le dictator
Jimena wangu polee eeh.. Shemej huwa hachekwi.. Domo litakuwa na adab kidogo kwako..

View attachment 423312
sawa, muosha huoshwa. We "ll bounce back!
 
Back
Top Bottom