Jimena yupo anakula bia tuu nowWhere is my jimena🙄🙄
Naona burudani this weekendKabisa mkuu wangu...
nadhani huu wimbo utawafaa sanaDedication song : Together as one ya Lucky Dube
Kupambana na chizi ni ujingadunia ya leo kuwa kimya nia aina fulani ya uoga ...
Hata mimi nimeshangaa, kumbe raia wanazitaka likes kwa nguvu sikuwahi kujua.Sasa utapewa vipi likes au reply kama unaandika pumba ? Huna hoja! alafu ukishazipata hizo likes zinaongeza nini? nimefatilia nimeona haka kamchezo kameanzia fesibuku na huko insta, watu wanalilia followers na likes kwa nguvu sasa kameletwa na jf. Hizi ni fikra za kitumwa tu.Mkuu ibra87 nimepitia comment mbili tatu, mfano ipo inayodai kuwa no likes, no reply, sasa mkubwa hivi vitu navyo Ni vya ku-complain? Au nini msingi wa malalamiko pengine sijaelewa maudhui. Nifahamishe mkuu.
Ila sijui my wife kakimbilia wapi long tym simuoni kabisa ila hata wewe nakuona uko alone alone wap shem wangu lizziebettieNaona burudani this weekend
tafuta jibu langu kisha uje tenaHata mimi nimeshangaa, kumbe raia wanazitaka likes kwa nguvu sikuwahi kujua.Sasa utapewa vipi likes au reply kama unaandika pumba ? Huna hoja! alafu ukishazipata hizo likes zinaongeza nini? nimefatilia nimeona haka kamchezo kameanzia fesibuku na huko insta, watu wanalilia followers na likes kwa nguvu sasa kameletwa na jf. Hizi ni fikra za kitumwa tu.
Ha haaa amaizing pipote ulipo cooomeeeeewIla sijui my wife kakimbilia wapi long tym simuoni kabisa ila hata wewe nakuona uko alone alone wap shem wangu lizziebettie
AtuambieBitoz uliiba dem Wa watu? Hebu sema kweli
Shem nipoIla sijui my wife kakimbilia wapi long tym simuoni kabisa ila hata wewe nakuona uko alone alone wap shem wangu lizziebettie
Kilitokea nini hapoHujapitwa mkuu
Teh.....![]()
Ndio
...........
Usijali your wife atakuja. Leo tulitoka kidogo na mama watoto ila yeye alikuwa humu. Halafu naona Kila raia wanaleta fujoIla sijui my wife kakimbilia wapi long tym simuoni kabisa ila hata wewe nakuona uko alone alone wap shem wangu lizziebettie