Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mkuu ibra87 nimepitia comment mbili tatu, mfano ipo inayodai kuwa no likes, no reply, sasa mkubwa hivi vitu navyo Ni vya ku-complain? Au nini msingi wa malalamiko pengine sijaelewa maudhui. Nifahamishe mkuu.
Hata mimi nimeshangaa, kumbe raia wanazitaka likes kwa nguvu sikuwahi kujua.Sasa utapewa vipi likes au reply kama unaandika pumba ? Huna hoja! alafu ukishazipata hizo likes zinaongeza nini? nimefatilia nimeona haka kamchezo kameanzia fesibuku na huko insta, watu wanalilia followers na likes kwa nguvu sasa kameletwa na jf. Hizi ni fikra za kitumwa tu.
 
Hata mimi nimeshangaa, kumbe raia wanazitaka likes kwa nguvu sikuwahi kujua.Sasa utapewa vipi likes au reply kama unaandika pumba ? Huna hoja! alafu ukishazipata hizo likes zinaongeza nini? nimefatilia nimeona haka kamchezo kameanzia fesibuku na huko insta, watu wanalilia followers na likes kwa nguvu sasa kameletwa na jf. Hizi ni fikra za kitumwa tu.
tafuta jibu langu kisha uje tena
 
Bitoz uliiba dem Wa watu? Hebu sema kweli
94b54f74fd89bbcc7ab6fc79b4156f83.jpg

Ndio
Nimemchapia
...........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom