Mtu mzima huwa anafanya vyenye busaraMtu mzima hatishiwi nyau
Timu yangu mimi ni majanga.![]()
Muuaji
...........
Ht watutukane vipiNaona vuguvugu aisee. Ila nini wataelewa tu
71% eti hatutaki kazi. Tangaza ajira uone mwitikio. Tutacheza pool na kushinda JF. CCM OYEE!Kuna wanao kesha yani kutwa nzima wako jamii forums 24/7. Ivi kazi au shughuli zao wanafanyaga saa ngap ??
Cz binafsi si kila wakati nipo humu unless ni notification ya kitu muhimu nafatilia. Si hukumu mtu though.
Yani leo majanga tu,Nahrene naye haonekani.Nahrene njoo umpoze rafiki yanguu.....
kumbe wewe ni wa Dar?hahaha wanaume wa Dar
PM kwanza umefuatilia yaliyojiri leo hapa kama bado wacha niwe wakwanza kutambulisha Couple mpya ya leo leo kati ya Patience123 na jambilo mtumish amaeamua kuvuta jumla niombe uongeze kwenye list yako ya couple hapa..Naona vuguvugu aisee. Ila nini wataelewa tu
umeongea vema tatizo kuna chama flani cha siasa wao siasa muda wote hawajui .....hata shetani alifukuzwa mbinguni kisa siasaWanasahau kuwa huku ni mafekero accounts hadi comments, sasa tatizo la jf watu hupenda kuangalia comments na Ku creates imagination kuwa huyu yuko njema, ana ringa dharau sijui nini ndo tatizo lilipo. Jf ukimind Bussiness zako na kufanya sehemu ya kushare ideas, kujifunza na kusoma habari lazima uenjoy.
Shemeji naona wamekukimbia nawewe.Wap my sweet heart hapa amaizing fika hapa tafadhali dady anakuhitaj hapa..
Dah kweli siku ya leo imekuwa ngumu sana kwako shemeji...Na ndiyo maana kabila letu tunaruhusiwa kuoa wake wawili ila sikushauri hili..Yani leo majanga tu,Nahrene naye haonekani.
mkaushie maana anajishuku sana ...Mada inahusu matabaka mshaanza kuleta tambo zenu ,wewe kama huna muda wenzako wanao ,its as simple as that
Nashindwa kuelewa kabisa..Shemeji naona wamekukimbia nawewe.
Usilolijua ni kama usiku wa gizaacha dharau joo ... wewe mbona mgeni hapa fb na una shobo hivyo?
mkuu mimi nipo makapuku lakini katika kuanzisha MABANDIKO nadhani mpaka wewe na hao wakongwe Kiumri watupu kichwani hampati Kitu. Nishapata Tuzo kibao.. so labda Urudi wewe UkajifunzeWaache wakae huko huko kwenye Makapuku forum wakishajifunza kuanzisha mada na kuchangia mada watakuwa comfortable kuhamia huku kwa wakongwe... Ni sawa tu na kujifunza kuendesha gari. Ushawahi kumuona mtu anajifunzia high way?
Yani shemeji acha tu,itabidi nilale kwanza labda nikiamka atakuwa amerudi?Dah kweli siku ya leo imekuwa ngumu sana kwako shemeji...Na ndiyo maana kabila letu tunaruhusiwa kuoa wake wawili ila sikushauri hili..