MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,700
- 71,114
Hivi yupo wapi sasa hivi1999 - Jenerali Pervez Musharaff anaingia madarakani nchini Pakistani baada ya mapinduzi ambayo hayakumwaga damu.
Hivi yupo wapi sasa hivi1999 - Jenerali Pervez Musharaff anaingia madarakani nchini Pakistani baada ya mapinduzi ambayo hayakumwaga damu.
Niambie kaka shululu!Morning makaveli, aka gunners
Dah!! Fresh tu, vip hali bob!?Niaje man, za kupotea?
Ulipotea sanaNiambie kaka shululu!
Morng papaa mukulukuluGoodmorning family
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Morning, wewe ndiye mwalimu wa zamu?
Jana kawastiri sana huyu, bila ya joe hart waingereza wangelala peke ziko nje..
Duh!! Miezi miwili na visiku kadhaa..Leo katika Historia:
Ni Oktoba 12, zimebaki siku 80 kabla ya mwaka huu kuisha.
Duh! Huyu kakamata mbisu anaupeleka tumbon bila hofu..
Naskia walikimbia na pichu mkononi!![emoji23] [emoji23]WaVietnam waliwachapa shaba wamarekani mpaka wakasema pooh[emoji23]
Zaid ya tandale kwa tumbo!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mi yamefanikiwa
Lengo langu lilikuwa kutembea na mademu wa Kicongo wapaka mkorogo
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
.......
*Leo katika Historia:
Sina la ziada, tukutane kesho.
Usiondoke...baki na mimi.....thanks for mazageti.View attachment 416636View attachment 416637
Kwa hisani ya Manji ndio naondoka kama ifuatavyo.
Niite Jimena Jimenes
Asanteni sana
Teh teh teh!! Ubabe wote hana nguvu za ukidume[emoji23] [emoji23] [emoji23]1949 - Carlos the Jackal anazaliwa.
Ni gaidi aliyetikisa Dunia miaka ya 1970's na aliisumbua sana Ufaransa. Ni mzaliwa wa nchini Venezuela.
Alikamatwa huko Sudan akiwa anaongeza nguvu za kiume.
Kwasasa anatumikia kifungo cha maisha huko Ufaransa.
Kuna stori nyingi sana za magumashi kitaa eti alimla Malkia Elizabeth bila kushtukiwa.
Pouwa..Salam makapuku
Nahisi lina asili ya kikwao.. Halina unasaba na dini.Pervez ni jina la kiislam?
Ni poa sanaDah!! Fresh tu, vip hali bob!?
Abaki na wewe wap na kivipi?? [emoji15][emoji15]Usiondoke...baki na mimi.....thanks for mazageti.
Majeruhi yalisababisha akastaafu kucheza mpira*View attachment 416666View attachment 416667View attachment 416668
Nyongeza
**********
Leo ni siku ya kuzaliwa Ledley King
Ni beki wa zamani na nahodha wa Tottenham na pia aliichezeaTimu ya Taifa ya England
Alizaliwa Oct 12 1980
..........