shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,912
Sijawahi kusikiaHujawahi kusikia hiyo?
Sijawahi kusikiaHujawahi kusikia hiyo?
1973 - Rais Richard Nixon wa Marekani anampendekeza Gerlad Ford kuwa Makamu mpya wa Rais akichukua nafasi ya Spiro Agnew.
Makamu wa Rais Ford baadae anakuja kuwa Rais baada ya Nixon kujiuzulu. Anabaki kuwa mtu pekee kuwa Makamu wa Rais na Rais ambaye hakuchaguliwa kwa kura za wananchi.
Hivi Kati ya Scotland yard na M16Bila kuwasahau MI6
Hapo nakubaliana na wewe. Malkia hakupigwa mafuta na huyu jamaa.Malkia angepigwa kitu walahi waingereza wangemuua hata huko gerezani.
Naskia Rais wa nchi moja ya Africa, kusini mwa Tanzania alikuwa dr. Queen hakuwa na watoto 7bu hiyo.....au changa???Chumvi mkuu
Sijajua.Eti anaongeza nguvu za kiume!!!.....dawa za miti shamba???
HapanaEti anaongeza nguvu za kiume!!!.....dawa za miti shamba???
Pamoja katbu wangu though nimemiss sana wewe!!Asante sana kwa historia mwenyekiti
Hakika. Ubarikiwe sana.Asante sana mkuu mussolin kwa leo katika historia bora kabisa
Binadamu ni noma, watu wako very bright mtu kazama Palace bila kuonekana/kushtukiwa!!!Hapo nakubaliana na wewe. Malkia hakupigwa mafuta na huyu jamaa.
Ila kuna jamaa mmoja aliwahi kuingia makazi ya Malkia pale Buckingham Palace na kuzama mpaka katika chumba anacholala Malkia kabla ya kushtukiwa na vyombo vya usalama.
Amen.
Ufafanuzi muruaAliitwa hivyo kwakuwa umafia wake ulifananishwa na Mbweha.
Halafu tofauti na Magaidi wa leo, huyu alikuwa ni jeshi la mtu mmoja kwenye matukio mengi sana.
Sasa ya viwandani si unachukua vidonge unasepa kumeza!!!Hapana
Za viwandani
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
........
Ana family?Sijajua.