Makapuku Forum

Makapuku Forum

1949 - Carlos the Jackal anazaliwa.

Ni gaidi aliyetikisa Dunia miaka ya 1970's na aliisumbua sana Ufaransa. Ni mzaliwa wa nchini Venezuela.

Alikamatwa huko Sudan akiwa anaongeza nguvu za kiume.

Kwasasa anatumikia kifungo cha maisha huko Ufaransa.

Kuna stori nyingi sana za magumashi kitaa eti alimla Malkia Elizabeth bila kushtukiwa.
Kumbe nguvu za kiume zimeanza kuongezwa kitambo sana
 
2012 - James Coyne anafariki Dunia.

Alikuwa ni gavana wa pili wa Benki kuu ya Canada.
Screenshot_2016-10-12-09-47-33.png
Screenshot_2016-10-12-09-48-20.png
IMG_20161012_094946.jpeg
 
1973 - Rais Richard Nixon wa Marekani anampendekeza Gerlad Ford kuwa Makamu mpya wa Rais akichukua nafasi ya Spiro Agnew.

Makamu wa Rais Ford baadae anakuja kuwa Rais baada ya Nixon kujiuzulu. Anabaki kuwa mtu pekee kuwa Makamu wa Rais na Rais ambaye hakuchaguliwa kwa kura za wananchi.
 
1949 - Carlos the Jackal anazaliwa.

Ni gaidi aliyetikisa Dunia miaka ya 1970's na aliisumbua sana Ufaransa. Ni mzaliwa wa nchini Venezuela.

Alikamatwa huko Sudan akiwa anaongeza nguvu za kiume.

Kwasasa anatumikia kifungo cha maisha huko Ufaransa.

Kuna stori nyingi sana za magumashi kitaa eti alimla Malkia Elizabeth bila kushtukiwa.
Malkia angepigwa kitu walahi waingereza wangemuua hata huko gerezani.
 
1949 - Carlos the Jackal anazaliwa.

Ni gaidi aliyetikisa Dunia miaka ya 1970's na aliisumbua sana Ufaransa. Ni mzaliwa wa nchini Venezuela.

Alikamatwa huko Sudan akiwa anaongeza nguvu za kiume.

Kwasasa anatumikia kifungo cha maisha huko Ufaransa.

Kuna stori nyingi sana za magumashi kitaa eti alimla Malkia Elizabeth bila kushtukiwa.
Eti anaongeza nguvu za kiume!!!.....dawa za miti shamba???
 
1973 - Rais Richard Nixon wa Marekani anampendekeza Gerlad Ford kuwa Makamu mpya wa Rais akichukua nafasi ya Spiro Agnew.

Makamu wa Rais Ford baadae anakuja kuwa Rais baada ya Nixon kujiuzulu. Anabaki kuwa mtu pekee kuwa Makamu wa Rais na Rais ambaye hakuchaguliwa kwa kura za wananchi.
Joyce Banda type
 
Back
Top Bottom