Jembe sanaView attachment 416762Dogo jembe
.....
Bitoz lini unatahama kwa shemeji yako(aliyemuoa dada yako) ili ukaanzishe maisha yako ya kujigegemea.View attachment 416767Ndala XI
.......
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Bitoz lini unatahama kwa shemeji yako(aliyemuoa dada yako) ili ukaanzishe maisha yako ya kujigegemea.
[emoji2] maana sasa hivi una 32 years
Acha majungu sihami ng'o nipo kwa jimamaBitoz lini unatahama kwa shemeji yako(aliyemuoa dada yako) ili ukaanzishe maisha yako ya kujigegemea.
[emoji2] maana sasa hivi una 32 years
hizi Ni dalili za uchochezi[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Hi inaitwa O packView attachment 416757Ten packs
.......
TuhutuhuKuna mgonjwa Wa matatizo ya akili kule Mirembe alimkimbiza daktari huku ameshika kisu kikali. Daktari alikimbia sana huku akiwa na hofu kuu. Hatimaye, akafika mahali ambapo hakukuwa na njia ya kupita, akapiga magoti na kusema sala ya mwisho.Yule mgonjwa akamkaribia kabisa na kumwambia....Ni zamu yako sasa.Nikimbize.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji38][emoji38]
Lewandowsky hapewi sifa inayostahili. Jamaa analijua goli.
Mnyama unyamaniView attachment 416830Simba anaongoza [emoji637] na pia wamekosa penati
......
Namwelewa sanaLewandowsky hapewi sifa inayostahili. Jamaa analijua goli.
Katibu mkuu ni partner wangu mbona sina taarifa??Nimeteuliwa na katibu mkuu wa makapuku 😛😛
Huku ni kazi tu, niaje kigamboninho??Vip huko babu!?
Haha poa poa bablaiApa kene forum I mean KF[emoji12]
[emoji2][emoji2][emoji3][emoji3] mbona hakuna tatizo mkuu, papaa ni mtani wangu..Even that word..
Hilo nalo neno..[emoji23] [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna mgonjwa Wa matatizo ya akili kule Mirembe alimkimbiza daktari huku ameshika kisu kikali. Daktari alikimbia sana huku akiwa na hofu kuu. Hatimaye, akafika mahali ambapo hakukuwa na njia ya kupita, akapiga magoti na kusema sala ya mwisho.Yule mgonjwa akamkaribia kabisa na kumwambia....Ni zamu yako sasa.Nikimbize.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji38][emoji38]