Makapuku Forum

Makapuku Forum

1999 - Jenerali Pervez Musharaff anaingia madarakani nchini Pakistani baada ya mapinduzi ambayo hayakumwaga damu.
Screenshot_2016-10-12-09-33-19.png
Screenshot_2016-10-12-09-32-50.png
IMG_20161012_093435.jpeg
 
1970 - Rais wa Marekani wa kipindi hiko, Richard Nixon anatoa kauli ya kupunguza wanajeshi 40,000 kutoka katika Vita ya Vietnam kabla ya Sikukuu ya Krisimasi.

Vita hiyo maarufu ya Miaka ya 1960 - 1970 ilipigwa katika misitu minene hali iliyopelekea Wamarekani kushindwa vibaya vita hiyo ya mSituni.
Msituni ngedere ndo mshindi
 
1949 - Carlos the Jackal anazaliwa.

Ni gaidi aliyetikisa Dunia miaka ya 1970's na aliisumbua sana Ufaransa. Ni mzaliwa wa nchini Venezuela.

Alikamatwa huko Sudan akiwa anaongeza nguvu za kiume.

Kwasasa anatumikia kifungo cha maisha huko Ufaransa.

Kuna stori nyingi sana za magumashi kitaa eti alimla Malkia Elizabeth bila kushtukiwa.
 
1949 - Carlos the Jackal anazaliwa.

Ni gaidi aliyetikisa Dunia miaka ya 1970's na aliisumbua sana Ufaransa. Ni mzaliwa wa nchini Venezuela.

Alikamatwa huko Sudan akiwa anaongeza nguvu za kiume.

Kwasasa anatumikia kifungo cha maisha huko Ufaransa.

Kuna stori nyingi sana za magumashi kitaa eti alimla Malkia Elizabeth bila kushtukiwa.
Du, ni wabongo wanazusha au huko Duniani
 
1949 - Carlos the Jackal anazaliwa.

Ni gaidi aliyetikisa Dunia miaka ya 1970's na aliisumbua sana Ufaransa. Ni mzaliwa wa nchini Venezuela.

Alikamatwa huko Sudan akiwa anaongeza nguvu za kiume.

Kwasasa anatumikia kifungo cha maisha huko Ufaransa.

Kuna stori nyingi sana za magumashi kitaa eti alimla Malkia Elizabeth bila kushtukiwa.
Screenshot_2016-10-12-09-41-11.png
IMG_20161012_094258.jpeg

Tutafsirie "The Jackal" kwanini aliitwa hivyo
.......
 
Back
Top Bottom