Labda RamiresView attachment 416597View attachment 416598View attachment 416599
Sijawahi kumuona Mbrazil mwenye "sura mbaya"
[emoji3] [emoji3] [emoji3]
......
Kama kuna mtu alikuwa na bahati basi ni huyu Ford.
Jaman watu manji, manji!! Kunani tena!?[emoji23] [emoji23]View attachment 416636View attachment 416637
Kwa hisani ya Manji ndio naondoka kama ifuatavyo.
Niite Jimena Jimenes
Asanteni sana
MI5 ( Military Intelligence 5 ) au pia hujulikana Section 5 ndio wanahusika na usalama wa viongozi.Hivi Kati ya Scotland yard na M16
Ni wapi wanahusika na viongozi wa nchi
Yule ubrazili wa kubambikiwa naskia ni mmakonde sijui mmakuwa..[emoji23] [emoji23]Labda Ramires
Dr. Kamuzu Banda wa Malawi.Naskia Rais wa nchi moja ya Africa, kusini mwa Tanzania alikuwa dr. Queen hakuwa na watoto 7bu hiyo.....au changa???
Alicheza smart sana.Binadamu ni noma, watu wako very bright mtu kazama Palace bila kuonekana/kushtukiwa!!!
[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]Ufafanuzi murua
......
Ndio na ana watoto kabisa.Ana family?
Asante Ankali kwa magazeti ya leoView attachment 416636View attachment 416637
Kwa hisani ya Manji ndio naondoka kama ifuatavyo.
Niite Jimena Jimenes
Asanteni sana
Ahsante Le Katibuz...View attachment 416636View attachment 416637
Kwa hisani ya Manji ndio naondoka kama ifuatavyo.
Niite Jimena Jimenes
Asanteni sana
Morning makaveli, aka gunnersMorng ndugu zangu wa kumoyo...[emoji173]
Mtu akiingia namna hiyo mpaka ndani, mimi huwa namuona ni shujaa sanaHapo nakubaliana na wewe. Malkia hakupigwa mafuta na huyu jamaa.
Ila kuna jamaa mmoja aliwahi kuingia makazi ya Malkia pale Buckingham Palace na kuzama mpaka katika chumba anacholala Malkia kabla ya kushtukiwa na vyombo vya usalama.
Dah! Angetunguliwa lowasa wallah pasingetosha... [emoji4][emoji4]Ilitokea kwa bahati mbaya.
Mfano leo hii Lowassa awe anahutubia pale Jangwani halafu sisi tupo huku Katavi tunaangalia hotuba ile live kwa kutumia luninga, ghafla akapigwa shaba akfa huku tukiona live.
Au kama ile siku JK alipodondoka jukwaani pale Jangwani, watu walikuwa wanaangalia kupitia Luninga hivyo ikazua taharuki kubwa.
Mamboz bibie?...
Niaje man, za kupotea?Morng ndugu zangu wa kumoyo...[emoji173]
Salama kiongoziSalam makapuku