shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,912
Mwambie hongera zake[emoji41] haya Tozi Nyangema
Mwambie hongera zake[emoji41] haya Tozi Nyangema
Ngoja tuone hatima yakeSasa itabidi wamuongeze Rooney
Lasivyo ataandamana
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
....
......
Du [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Huoni nilivyomjibu....we kiranga uache kiranga chako[emoji23][emoji23][emoji23]
TujueAfu we nae umeyaleta huku ya nini....[emoji36][emoji36][emoji36]
Hongera wapi, wakati alitolewa njeMwambie hongera zake
Em mpige na kibao juu[emoji1]Mkwepa kodi umekrem neno kapuku zaidi, huku twaitana family
Ungemsaidia tu[emoji23] mm nlikuonya mapema kuwa kule hautapaweza, alafu jamaa akawa anakomaa na ww
[emoji23] eti ukajibu "hivyo hvyo" jamaa na yeye akakupiga tena swali hapo hapo
[emoji2] kule mpaka uombe Poo ndo wanakuachia, la sivyo labda mbio zako zikuokoe[emoji125] [emoji125]
Kwa nini jiraniAmini usiamini niliingia mule kimasoma....hii simu ilini mislead...[emoji53][emoji53]
Wewe umechemka?Mnakaribishwa muende mkabishane naye kwa logic
[emoji2] maana mmemuachia jukwaa anatamba mwenyewe tu
Hapana, twaelekezana tuEm mpige na kibao juu[emoji1]
Nilitaka kuona IQ yake iko vipiUngemsaidia tu
Akikiangukia[emoji134] [emoji125]
Ila Kuna wakati huwa wanapigana kamba sana[emoji2] ndo ukome sasa, sisi wengine ni wasomaji tu kule lakini siyo wachangiaji.
Kule unajibu kwa logic tu
Acha nongwaHongera wapi, wakati alitolewa nje
Ntaflai[emoji23] [emoji1]nasikia Yanga wanataka wamfukuze kocha
yaan wakifanya hivyo sitaishangilia hii timu mpaka 2026
Haipimwi kama oilNilitaka kuona IQ yake iko vipi
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
+QuigleyShululu+sweetiep majirani vichaa!!!!
Silaha yake kubwa mlozi ni kusingizia amefanya au anafanya kila kituHahahaha yule si wa kubishana nae kama huijui vizuri mada husika na hauna hata uthibitisho, kuna siku alimyamazisha memba mmoja kuhusu kitu ambacho mi nakijua sana afu akaenda mulumule kama nijuavyo... Ndo nikajua jamaa huwa anajipanga sana atakua anachimba kwanza ndo anabishana
Jonax atakuja hivi karibuniYeyote atakayezidiwa mi nitakuwa mwenyeji wake huku mirembe maana nipo kitambo tu
Senkyuu ze buku