Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,642
"Mjinga,mvivu na mpumbavuuu"[emoji2] Ile ya mlozi nlicheka sanaa, maana aliumbuliwa vibaya sanaa
[emoji3] [emoji3] [emoji3]
......
"Mjinga,mvivu na mpumbavuuu"[emoji2] Ile ya mlozi nlicheka sanaa, maana aliumbuliwa vibaya sanaa
I'm just not lunatichahaha...kwanini?
Ni rahisi sana genius kugeuka chizi na kinyume chakeFafanua hapo
Mjinga hana kinachomsumbuaNi rahisi sana genius kugeuka chizi na kinyume chake
Miss uu kongolizeI'm just not lunatic
Genius ni kichaa,kwani hayuko normal kiakili,yaan amepitiliza.Ni rahisi sana genius kugeuka chizi na kinyume chake
Jonax umemuumbua dadangu swt pHaya link hiyo hapo https://www.jamiiforums.com/index.php?posts/18002973
Kujeni muone mpambano wa ki,ranga vs Sweetiepie
Cc: Bitoz The Book
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Alitegwa swali na yeye akaingia kingi, sasa akaambiwa 'nenda kafute upumbavvu wako'"Mjinga,mvivu na mpumbavuuu"
[emoji3] [emoji3] [emoji3]
......
Ni kweliNaskia juzi wamemzomea sna.
Ilipangwa na Elites, sema huyo Oswald ni noma kwa shabaha!!!Aliyemuua J.F.Kennedy alikuwa anaitwa Lee Harvey Oswald. Inasemekana alipata mafunzo yake Russia chini ya shirika la ujasusi la nchi hiyo KGB.
Mlinzi Clint Hill kutoka Secret Service, aliyekuwepo gari la nyuma ya Rais na ambaye alifika kuwakinga Rais na Mkewe mara baada ya Risasi ya kwanza kupigwa anasema mpaka leo kitu pekee anachojuta ni kushindwa kwake kumuokoa Rais.
Anasema laiti kama angeisikia vizuri risasi ya kwanza angeweza kufika kwa wakati na kumuokoa.
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Kichaa cha mapendo au? pia ni kichaa naskia..m[emoji39][emoji39][emoji39]
Kukazia ukichaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana aisee
Hahahaha yule si wa kubishana nae kama huijui vizuri mada husika na hauna hata uthibitisho, kuna siku alimyamazisha memba mmoja kuhusu kitu ambacho mi nakijua sana afu akaenda mulumule kama nijuavyo... Ndo nikajua jamaa huwa anajipanga sana atakua anachimba kwanza ndo anabishanaKuna thread kamnyamazisha Mlozi hadi huruma akabaki kupost emoji tu
[emoji3] [emoji3] [emoji3]
......
.......
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]Sikumshindwa ndugu sema wanaume hawatangazi....hiyo ni kazi ya wavulana
[emoji3] [emoji3] [emoji3]
.......
Asante kushukuru kichaa mwenzanguAsante kichaa mwenzangu....[emoji39]
[emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106]Nimeiona jirani shukrani...
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Bongo wangekufa watu wengi sana maana walinzi wa Raisi wangepiga risasi randomly
Mwenyewe, acha waisome no eeheeHiya inaitwa utaipenda
Dada ako ni coward, anakimbia kujibu maswaliJonax umemuumbua dadangu swt p