Makapuku Forum

Makapuku Forum

FB_IMG_14761872480027234.jpeg

Mzigo mpya wa Simba upo madukani
.....
 
NUKUU NO 1#

Ni vema kila taifa likafahamu, iwe ni taifa linalotutakia mema ama kinyume chake, kwamba tupo tayari kwa gharama yoyote

Kwa kubeba mzigo wowote, kwa kukabiliana na ugumu wowote, katika kuunga mkono au kupinga ili mradi tu kuhakikisha uhuru unatwaa nafasi yake popote


Maneno haya yalipata kutamkwa na aliyekuwa Rais wa Marekani, John Kennedy, January 20,1961

Kennedy alizaliwa Mei 29,1917 na kuuawawa November 22,1963
 
NUKUU NO 2#

Siasa mpya ya Bank ya Dunia ni kwamba maendeleo siyo tu majumba makubwa, viwanda vingi, magari mengi na fedha nyingi,
Bali ni umuhimu wa nchi kuona kuwa mali inagawanywa kwa haki na sawa kwa watu wote


Maneno haya yalipata kutamkwa na waziri wa fedha, David Msuya. October 2,1972 jijini Dar es salaam mara baada ya kurejea kutoka Uingereza na Marekani aliko hudhulia mikutano mbali mbali,
Msuya alizaliwa November 4,1931, amewahi kuwa waziri mkuu wa Tanzania
 
Back
Top Bottom