shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,912
NipoShululu ukuje huku
NipoShululu ukuje huku
Mimi natibu vichaa mje na jiran zako+Quigley
Nataka upone uchaa wako ka lipumboNipo
Kweli aiseeNi rahisi sana genius kugeuka chizi na kinyume chake
Zikizidi huwa ni balaaGenius ni kichaa,kwani hayuko normal kiakili,yaan amepitiliza.
Na ndivyo inavyotakiwaHahahaha yule si wa kubishana nae kama huijui vizuri mada husika na hauna hata uthibitisho, kuna siku alimyamazisha memba mmoja kuhusu kitu ambacho mi nakijua sana afu akaenda mulumule kama nijuavyo... Ndo nikajua jamaa huwa anajipanga sana atakua anachimba kwanza ndo anabishana
Nawe pia, lala ukueUsiku mwema makapuku
Bitoz umemsikia Jonax?Hongera wapi, wakati alitolewa nje
Baada ya kuiona umechukua hatua ganiNilitaka kuona IQ yake iko vipi
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hakumpigia puchu?[emoji1]Naona hapo ulitumia huu msemo baada ya kumkosaView attachment 416353[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Nongwa ndo nn?Acha nongwa
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji100]Nongwa ndo nn?
[emoji23] kwani mimi nmesema nataka kuipima?Haipimwi kama oil
Who?[emoji23] kwani mimi nmesema nataka kuipima?
Yule jamaani mshuzi sanaa, yani ukimgonga swali utasikia akisema"nadhani hii mada yangu hukuielewa vizuri"Silaha yake kubwa mlozi ni kusingizia amefanya au anafanya kila kitu
*artheism
*Mambo ya magari
*Buddhism
*Mochwari
*Kiwandani
*Biashara
*Ulozi
n.k
Yaani akipingwa au akitaka kuchangia mada anazuga kwamba kabobea kwenye hicho kitu matokeo yake anajisahau na sasa keshataja fani zaidi ya 10
Mi nimemshtukia kwamba mwongo tu hukopi vitabu na hajui mambo ya ziada ndo maana kukopi historia anayoleta Mussolin anachemsha na kuvurunda tu
Hivyo "Katanga" kuizima tunguli ilikuwa simple
[emoji3] [emoji3] [emoji3]
...........
[emoji2] Blaza kwani tuna ugomvi, mbona unanitabiria mabaya hv?Jonax atakuja hivi karibuni
HaaaahaaaaYule jamaani mshuzi sanaa, yani ukimgonga swali utasikia akisema"nadhani hii mada yangu hukuielewa vizuri"
Na ukishaoa hvyo ujue basi kisu kimegonga mfupa hvyo shindilia hapo hapo
[emoji23] Why ame[emoji125] [emoji125][emoji2] leo nmecheka sana baada ya kumuona Sweetiepie amekuja kwenye jukwaa la intelijensia kuchangia mada iliyopo, mara Ki,ranga akatokea na kuanza kumshambulia Sweetiepie kwa maswali..
Kilichofuata kwa Sweetiepie kilikuwa ni hiki[emoji116]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Hahahaaaaaaaaa![emoji23]
Haaaahaaaa, hapana tupo KF tu[emoji2] Blaza kwani tuna ugomvi, mbona unanitabiria mabaya hv?