God'sBeliever
JF-Expert Member
- Sep 1, 2015
- 5,788
- 3,068
Hii fursa naitamani ije tena sema sidhani maana yule manzi saiv atakuwa kaolewaWatoto wengi wa vigogo ni mapepe na wazinzi shida yao ni mapenzi tu siyo pesa
Duh mi alinidaodia sana coz nilikuwa napikiwa tu mapochopocho wakati home wanatumia pesa ya wali ndondo nolirudi likizo wanashangaa sijakonda
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
.........
Ila kama vipi kikimuwasha nipo maana hakunaga ushemeji.