Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo ni siku ya mtoto wa kike Duniani.
Screenshot_2016-10-11-12-37-32.png
IMG_20161011_123754.jpeg
IMG_20161011_123746.jpeg

Heshima watoto wavaa sketi
.......
 
Rais halafu mcheza muvi! Nimeipenda hii.....Ila yule jamaa aliemdungua Kennedy alikuwa noma!
Aliyemuua J.F.Kennedy alikuwa anaitwa Lee Harvey Oswald. Inasemekana alipata mafunzo yake Russia chini ya shirika la ujasusi la nchi hiyo KGB.

Mlinzi Clint Hill kutoka Secret Service, aliyekuwepo gari la nyuma ya Rais na ambaye alifika kuwakinga Rais na Mkewe mara baada ya Risasi ya kwanza kupigwa anasema mpaka leo kitu pekee anachojuta ni kushindwa kwake kumuokoa Rais.

Anasema laiti kama angeisikia vizuri risasi ya kwanza angeweza kufika kwa wakati na kumuokoa.
 
Baada ya tukio hili, Mfumo wa ulinzi wa Rais wa Marekani ukabidilishwa na ikiwemo kuweka damu ya dharura ( akiba ) ndani ya gari analopanda Rais ili ikitokea dharura kama hiyo Rais apatiwe huduma ya kwanza.

Maana Rais Reagan alivuja sana damu na kama isingekuwa hospitali ya karibu angepoteza uhai.
Kweli aisee
Nilikuwa tukio baya
Ingekuwa Bongo angeshavuta
.......
 
Back
Top Bottom