Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ukweli ndio huo aliosema
Ronald=Rinaldo kwa Kireno
Leonard= Leonardo

Mama wa Cristiano aliweka wazi kwamba kampa jina km heshima ya Ronald Reagan
.......
Screenshot_2016-10-11-12-31-03.png
 
Aliyemuua J.F.Kennedy alikuwa anaitwa Lee Harvey Oswald. Inasemekana alipata mafunzo yake Russia chini ya shirika la ujasusi la nchi hiyo KGB.

Mlinzi Clint Hill kutoka Secret Service, aliyekuwepo gari la nyuma ya Rais na ambaye alifika kuwakinga Rais na Mkewe mara baada ya Risasi ya kwanza kupigwa anasema mpaka leo kitu pekee anachojuta ni kushindwa kwake kumuokoa Rais.

Anasema laiti kama angeisikia vizuri risasi ya kwanza angeweza kufika kwa wakati na kumuokoa.
IMG_20161011_125612.jpeg
IMG_20161011_125622.jpeg
IMG_20161011_125643.jpeg
IMG_20161011_125634.jpeg
 
Back
Top Bottom