makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 36,022
- 104,625
Rais wa 4!!1952 - Vladmir Putin anazaliwa.
Ni Rais wa 4 wa Urusi. Ni mmoja kati ya viongozi imara wanaoifanya Urusi kuendelea kuwa Imara mpaka sasa.
Alipata kuhudumu katika Jeshi la Urusi na kufikia cheo cha Kanali.
Pia ni moja kati ya majasusi mahiri kuwahi kutokea katika historia ya KGB.
Pia anasifika kwa Martial arts.
1973 - Dida anazaliwa.
Ni golikioa wa zamani wa Ac Milan na timu ya taifa ya Brazil.
Sie si tushazoeshana kupachikana majina kipumbav pumbav tuunilijua DIDA wa Yanga kumbe orijino
Noma saana huyu mtuu!!1976 - Gilberto Silva anazaliwa.
Ni kiungo wa kukaba wa zamani wa Arsenal na timu ya taifa ya Brazil.
Alikuwa anajulikana kama " Ukuta usioonekana "
Hiyo picha hapo chini, Ni Kanali Kinana akiwa na Luteni Kanali Kikwete siku ya kustafu kwao utumishi Jeshini wakiwa Kambi ya 831 KJ, Mgulani JKT.View attachment 413839View attachment 413840View attachment 413841View attachment 413842
"Rahisi" Jk na Kinana enzi za jeshi
JK aliishia kwenye Uluteni Kanali(Ngao + nyota moja)
.......
Hiyo picha hapo chini, Ni Kanali Kinana akiwa na Luteni Kanali Kikwete siku ya kustafu kwao utumishi Jeshini wakiwa Kambi ya Mgulani JKT.View attachment 413839View attachment 413840View attachment 413841View attachment 413842
"Rahisi" Jk na Kinana enzi za jeshi
JK aliishia kwenye Uluteni Kanali(Ngao + nyota moja)
.......
Namaanisha birthday na ukanali TUUHapana mkuu. Ni kosa kumfananisha JK na Komredi Putin.
Fundi solari.. Nilikuwa nainjoi kumuona jamaa uwanjan.. Kuna jamaa yangu aliacha kushabikia madrid sababu ya solari kutupwa benchi1976 - Santiago Solari anazaliwa.
Ni mchezaji wa zamani wa Real Madrid na Timu ya taifa ya Argentina.
Acha izoHupendi sub
Morning shuluMorning all
Jamaa namkubali sana.View attachment 413846View attachment 413847View attachment 413848
Col Putin= Ngao + nyota mbili ukimaliza hapa unaingia Btigedia Jenerali
........
Huyu jamaa hajawahi kuwa na zali tu, ila niamin mimi huyu ni mmoja kati ya washambuliaj bora niliowahi kuwashuhudia epl1982 - Jermain Defoe anazaliwa.
Straika wa zamani wa Spurs, Portsmouth, West Ham kwasasa Sunderland na timu ya taifa ya Uingereza.
Anasifika kwa mashuti na spidi awapo uwanjani.
Huu mwaka wa 6 najiulza same questionHivi K yale meno ni OG???
Hii ni baada ya USSR kuvunjika, hivyo kwanzia mwaka 1990 ilijulikana kama Urusi. Na hapo ndipo walipoanza kuhesabu Marais wao wapya.Rais wa 4!!
hii imekaaje kaka, naona ni taifa kongwe sasa vipi idadi ya rais iko hv!!?
Atakuwa wa chattle huyu
1973 - Sammy Hyypia anazaliwa.
Ni mchezaji wa zamani wa Liverpool, Bayer Levekusen na timu ya taifa ya Finland.
Alishinda ubingwa wa Ulaya mwaka 2005 akiwa na Liverpool.
Yuko fiti!! Nasikia yeye ndio bodyguard wa mabodyguard wakeAlishawahi kuchukua ubingwa wa dunia kwenye Judo
Niliusoma ule uzi!Yap. Kuna jamaa ameielezea kwa uzuri sana hapahapa JF.
hahaha...hakupewa sifa anazostahili.Fundi solari.. Nilikuwa nainjoi kumuona jamaa uwanjan.. Kuna jamaa yangu aliacha kushabikia madrid sababu ya solari kutupwa benchi