Makapuku Forum

Rais wa 4!!

hii imekaaje kaka, naona ni taifa kongwe sasa vipi idadi ya rais iko hv!!?
 
View attachment 413839View attachment 413840View attachment 413841View attachment 413842
"Rahisi" Jk na Kinana enzi za jeshi
JK aliishia kwenye Uluteni Kanali(Ngao + nyota moja)
.......
Hiyo picha hapo chini, Ni Kanali Kinana akiwa na Luteni Kanali Kikwete siku ya kustafu kwao utumishi Jeshini wakiwa Kambi ya 831 KJ, Mgulani JKT.
View attachment 413839View attachment 413840View attachment 413841View attachment 413842
"Rahisi" Jk na Kinana enzi za jeshi
JK aliishia kwenye Uluteni Kanali(Ngao + nyota moja)
.......
Hiyo picha hapo chini, Ni Kanali Kinana akiwa na Luteni Kanali Kikwete siku ya kustafu kwao utumishi Jeshini wakiwa Kambi ya Mgulani JKT.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…