Makapuku Forum

1990 - Ni siku ya Muungano nchini Ujerumani.

Ambapo Ujerumani Mashariki na Ujerumani Magharibi zamaliza tofautu zao na kuungana upya na kuwa Nchi moja.

Kabla ya hapo nchi hizo zilitenganishwa na Ukuta wa Berlin.
Sorry kwa kukurudisha nyuma.. Hiv kwanin hizi ujeruman zilitengana!!? Na zilitengana mwaka ganj!? Kama kuna vinyama nyama jazilizia hapo, sie tuliokimbia history darasan tuna shkda kweli..
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…