Makapuku Forum

Makapuku Forum

1475473421839.jpg
1475473429577.jpg
1475473432646.jpg
 
1981 - Zlatan Ibrahimovic anazaliwa.

Mshambuliaji wa zamani wa Ajax, Ac Milan, Inter Milan, Juventus, Barcelona, PSG na kwasasa Man Utd.

Ni mshambuliaji wa aina yake mwenye majivuno, sifa na ambaye mara nyingi hufunga magoli ya uwezo binafsi na ya kukumbukwa. Hujulikana kama Ibra Kadabra.

Alichemsha akiwa Barcelona, kutokana na kutoelewana na kocha.

Kwasasa amestaafu kuchezea timu ya taifa ya Sweden.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom