1978 - Claudio Pizzaro anazaliwa.
Ni mchezaji wa zamani wa Bayern Munich, Chelsea, Werder Bremen na timu ya taifa ya Peru.
Amecheza Bayern mara mbili tofauti, wakati Werder Bremen yupo kwa mara ya tatu tofauti.
Joto tu mkuu, home wazima?Morning, vp pande hizo
Sio mchezaji wa kiwango cha Brazil, baada ya kumuona timu ya Taifa ndio nikajua Brazil imeishiwa kabisa1983 - Fred anazaliwa.
Ni mshambuliaji wa Brazil ambaye alikuwepo kwenye timu ya taifa ya Brazil iliyocheza kombe la Dunia katika ardhi ya nyumbani.
alibebwa sana na ScoraliSio mchezaji wa kiwango cha Brazil, baada ya kumuona timu ya Taifa ndio nikajua Brazil imeishiwa kabisa
Asante sana kwa magazeti ya leo Ankali JJView attachment 411248View attachment 411249
Asante sana na muwe na siku njema na wiki nzuri yenye mafanikio
Naitwa Jimena Jimenes
Adios Amigo