Makapuku Forum

Makapuku Forum

Game ya leo n kati ya derby hovyo sana kutokea kipindi cha kwanza Yanga kapiga mpira c utani ila cha pili katepeta simba wakaja juu!!! Kichuya mwenye namba yake anipe nimtumie mia3 kwa tigopesa;!! Yanga alipaswa amalize mchezo mapema pia mwamuzi mchezo umemzidi uzito kwa kiasi Fulan Mimi Yanga Damu ila Yanga waongeze kasi la sivyo huu ni mwaka wa SIMBA
 
Bonge la katuni
Nimecheka
........
Mimi katuni iliyonichekesha ni hii
1475358271194.jpg
tena niki-imagin na huu wimbo unavyoimbwa, naona kama anakata kiuno reality
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom