Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,226
- 68,242
Well said.Acha unazi
Safe ina impact kubwa kwao 7bu wamecheza pungufu imewaongezea kujiamini mechi zijazo itakuwa ngumu kupoteza
Pia gap limebaki pts 6 ingawaYanga ana mechi moja mkono ni
Kosa kubwa la Yanga ni kuzembea KUUA MECHI mapema
Tusipoangalia msimu huu ibingwa tutakosa
Chambua mpira siyo unazi tu
..................
karudi kuita majina Vingongo Forum