Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kweli muosha huoshwa,
Japo dhambi haifutwi kwa dhambi, mwaka 2002 mei 31, Madaraka Seleman anawafunga Yanga bao kama la tambwe leo, na mwamuzi Omary Abdulkadri anasema weka kati,
Rais wa zaman wa Yanga yaani Tarimba Abasi Tarimba, aliamuru timu itoke uwanjani, lkn hawakutoka, simba walishangilia wakati Yanga wanalia,

Leo zamu yao wao wanang'oa viti wakati Yanga walishangilia, najua wengi mtakuwa mmesahau!

Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Ht siku Yanga tunapigwa 5 Mafisango alitupia 3 kulikuwa na penati 3 za magumashi + 2 red cards lakini hatukung'oa viti
Hatupendagi ujinga sisi
............
 
Kweli muosha huoshwa,
Japo dhambi haifutwi kwa dhambi, mwaka 2002 mei 31, Madaraka Seleman anawafunga Yanga bao kama la tambwe leo, na mwamuzi Omary Abdulkadri anasema weka kati,
Rais wa zaman wa Yanga yaani Tarimba Abasi Tarimba, aliamuru timu itoke uwanjani, lkn hawakutoka, simba walishangilia wakati Yanga wanalia,

Leo zamu yao wao wanang'oa viti wakati Yanga walishangilia, najua wengi mtakuwa mmesahau!

Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Vipi kuhusu hii[emoji116]
1475387380811.jpg
na hii[emoji116]
1475387430595.jpg
hamuoni kwamba mlikuwa mnabebwa[emoji116]
1475387482097.jpg
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Kweli muosha huoshwa,
Japo dhambi haifutwi kwa dhambi, mwaka 2002 mei 31, Madaraka Seleman anawafunga Yanga bao kama la tambwe leo, na mwamuzi Omary Abdulkadri anasema weka kati,
Rais wa zaman wa Yanga yaani Tarimba Abasi Tarimba, aliamuru timu itoke uwanjani, lkn hawakutoka, simba walishangilia wakati Yanga wanalia,

Leo zamu yao wao wanang'oa viti wakati Yanga walishangilia, najua wengi mtakuwa mmesahau!

Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Weka picha[emoji41]
 
Vipi kuhusu hii[emoji116] View attachment 410695na hii[emoji116] View attachment 410696hamuoni kwamba mlikuwa mnabebwa[emoji116] View attachment 410698[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Haikuwa offside kwani kuna mtu kabisha?
Na Tambwe alishika kabla ya kuweka chini mpira na kutupia

Mbona mambo hayo hutokea ht Ulaya juzijuzi Manchester Derby mwamuzi kakausha penalty mbili na Man Utd kupigwa 2:1 tena old Trafford
Nani aling'oa viti?
.........
 
Back
Top Bottom