Makapuku Forum

Makapuku Forum

1924 - Jimmy CARTER anazaliwa.

Ni Rais wa 39 wa Marekani.
5f90215fcd43c896a3960d673c8a3fcd.jpg
Screenshot_2016-10-01-10-53-17.png

Si ndo alikumbwa na kashfa?
........
 
1966 - George Weah anazaliwa.

Mwanasoka wa zamani wa Liberia na klabu za PSG na AC Milan, ambaye mwaka 1995 alishinda tuzo za Mwanasoka bora wa Dunia, Mwanasoka bora Ulaya na Mwanasoka bora wa Afrika kwa pamoja.

Anabaki mwafrika pekee kushinda tuzo ya mwanasoka bora wa Dunia.
Screenshot_2016-10-01-11-00-24.png
Screenshot_2016-10-01-11-00-47.png

Ac Milan
Screenshot_2016-10-01-11-01-16.png

Liberia

Heshima kwake
.......
 
1975 - Thrilla in Manila. Ni jina la pambano lililowakutanisha Mabondia Muhammad Ali aliyempiga Joe Frazier ( The Smoking Joe ) huko Ufilipino.

Pambano hili linachukuliwa kama pambano bora kabisa la wakati wote, kwani Muhammad Ali alishambuliwa karibu muda wote wa mchezo kabla ya kuibuka na kumdondosha Joe.
Alibahatisha kumbe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom